Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya anawatangazia watanzania wenye sifa
kuomba nafasi za kazi kumi na tisa (19) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali
kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

