TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2025

Filed in Makala by on May 24, 2025 0 Comments

Kama wewe ni mtumiaji wa simu za kisasa katika kampuni ya Apple basi hii ndio toleo la kisasa zaidi

Bei ya iPhone 16 Pro Max

Bei ya iPhone 16 Pro Max 2025

Hapa chini tunaenda kukuwekea makadilio ya bei ya hii simu ya iPhone 16 Pro Max kwa Tanzania na bei yake inatofautiana kulingana na uwezo wa memory yake;

Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2025:

  • iPhone 16 Pro Max (256GB): TSH Milioni 2.8 hadi Milioni 3
  • iPhone 16 Pro Max (512GB): TSH Milioni 3.2 hadi Milioni 3.4
  • iPhone 16 Pro Max (1TB): TSH Milioni 3.8 hadi Milioni 4

Kama ulikua ukijiuliza ni simu gani unaweza kutumia basi huna budi kufanya chaguo la kumiliki simu kutoka kampuni ya Apple kwa toleo jipya la iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max, kwani hii ndio simu ya kijanja iliyoboreshwa kulingana na mwelekeo wa teknolojia.Apple imeamua kufanya mapinduzi katika bidhaa za simu kwani hadi kwa wakati huu hakuna kampuni ya simu iliyotoa simu nzuri na bora kama kampuni ya Apple.

Kama unamiliki simu hii embu dondosha komenti yako ili kuwafanya wasomaji watambue uzuri wa simu hii.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani

2. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 EPL

3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025

4. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu

5. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *