TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Nafasi za kazi Msaidizi Wa Ufugaji Nyuki Daraja La II Kutoka MDAs na LGAs Nafasi 47 August 2024

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on August 4, 2024 0 Comments

Nafasi za kazi Msaidizi Wa Ufugaji Nyuki Daraja La II Kutoka MDAs na LGAs Nafasi 47 August 2024

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

POST MSAIDIZI WA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING ASSISTANT II) – 47 POST

EMPLOYER MDAs & LGAs

APPLICATION TIMELINE: 2024-08-03 2024-08-16

JOB SUMMARY NA

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kusimamia manzuki;

ii.Kutunza hifadhi za nyuki;

iii.Kukusanya takwimu za ufugaji nyuki;

iv.Kutunza kumbukumbu za kazi za utafiti;

v.Kuondoa nyuki wanaodhuru binadamu na mifugo;

vi.Kutoa leseni za biashara za mazao ya nyuki;

vii.Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wananchi juu ya ufugaji endelevu wa nyuki na matumizi bora ya mazao ya nyuki; na

viii.Kutunza makundi ya nyuki wanaouma na wasiouma

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne au Sita wenye Astashahada ya Ufugaji Nyuki kutoka Vyuo vinavotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION TGS. B

CLICK HERE TO APPLY

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *