NAFASI 16 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam July 2025
Mkurugenzii wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kupitia Kibali cha Ajira Mpya chenye Kumb Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 chenye Kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi – nafasi nne (4), Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja II – nafasi nne (04), Dereva Daraja la II – nafasi nane (8), kilichotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Anawatangazia maombi ya nafasi
za kazi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi kama ilivyoainishwa katika Tangazo hili;
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi 22 Julai, 2025
NAFASI 16 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam July 2025
Ili kusoma nafasi zilizopo, vigezo na njia ya kutuma maombi tafdhari bonyeza linki hapo chini
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO