KIKOSI cha Yanga vs Dodoma Jiji leo 22 June 2025
Leo ligi kuu ya NBC Tanzania Bar inaenda kukamilisha mchezo wke wa round ya mwisho ya 30 huku klabu ya Yanga ikienda kuikaribisha klabu ya Dodoma Jiji mchezo wa wisho kwa Dodoma jiji na mchezo wa 29 kwa klabu ya Yanga. Kisiwa24 tunakuletea vikosi vya timu zote 2 kuelekea mchezo huu.
Malezo ya Mchezo
Ligi: Ligi kuu ya NBC
Mchecho: Mchezo wa Round ya 30
Timu: Yanga Sc vs Dodoma Jiji
Uwanja: New Amaan Stadium Zanzibar
Muda: 10:00 Jioni
KIKOSI cha Yanga vs Dodoma Jiji leo 22 June 2025
Hapa chini ni kikosi cha Yanga Sc kitakachoenda kucheza dhidi ya klabu ya Dodoma Jiji leo katika mchezo wa 30
KIKOSI cha Dodoma Jiji vs Yanga Sc leo 22 June 2025
Hapa chini ni kikosi cha Dodoma Jiji kitakachoenda kucheza na klabu ya Yanga leo