Post Archive by Month: July,2025

Jinsi ya Kufungua Akaunti ya WhatsApp Iliyofungiwa 2025

Katika ulimwengu wa mawasiliano ya kisasa, WhatsApp imekuwa mojawapo ya njia kuu za kutuma ujumbe, kupiga simu na kushirikiana nyaraka. Hata hivyo, wapo watumiaji wengi ambao hukutana na changamoto ya kufungiwa akaunti zao. Ikiwa wewe ni mmoja wao, usijali. Makala hii itakueleza jinsi ya kufungua akaunti ya WhatsApp iliyofungiwa kwa urahisi na haraka. Sababu Zinazosababisha Kufungiwa kwa Akaunti ya WhatsApp

Continue reading

NAFASI 11 za Kazi Kinondoni Municipal Council

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni anawatangazia watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuomba nafasi za kazi zilizotajwa hapo chini, baada ya kupokea kibali cha Ajira mpya chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29.04.2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. DEREVA DARAJA LA II

Continue reading

PDF: MAJINA Walioitwa Kazini UTUMISHI 04 July 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 02-09-2024 na tarehe 21-05-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi

Continue reading

Vilabu Bora Afrika 2025/2026 (CAF Club Ranking)

CAF Orodha Ya Vilabu Bora Afrika 2025/2026 (CAF Club Ranking),Vilabu Bora Afrika 2025/2026 CAF Ranking – CAF Ranking of African Clubs 2025, Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza orodha mpya ya vilabu bora Afrika kwa msimu wa 2025/2026, ikionyesha mabadiliko makubwa katika mandhari ya soka barani Afrika. Orodha hii inazingatia utendaji wa vilabu katika mashindano ya kimataifa na

Continue reading

Wiki ya Mwananchi 2025 (Yanga Day): Tarehe, Matukio na Bei ya Tiketi

Wiki ya Mwananchi 2025 (Yanga Day): Sherehe Kubwa ya Mabingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mara tano mfululizo Yanga Sc (Timu ya Wananchi), Tarehe Muhimu, Matukio ya Kusisimua, na Bei za Tiketi Wiki ya Mwananchi, inayojulikana pia kama Yanga Day, ni tukio maalum linalofanyika kila mwaka ili kuadhimisha kilele cha klabu ya Yanga ambapo utambulisho wa kikosi kipya cha wachezaji

Continue reading

MFANO wa Maswali Ajira za Air Tanzani

Ikiwa umepata fursa ya usaili kazi katika Air Tanzania Company Limited (ATCL), basi unahitaji kujiandaa kwa MFANO wa Maswali ya Usaili Ajira za Air Tanzani. Makampuni ya anga nchini Tanzania, kama ATCL, yanatarajia waombaji wawe na uelewa wa tasnia ya usafiri wa anga, huduma kwa mteja, usalama, na malengo ya shirika Maswali ya Jumla (General Questions) Jitambulishe “Tafadhali tusaidie kujulikana.”Unapaswa

Continue reading

PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Air Tanzania

Kampuni ya Ndege Tanzania kinapenda kuwataarifu wote walioomba kazi katika kada mbalimbali kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 5 Julai, 2025 hadi tarehe 10 Julai, 2025. Wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:- Usaili utafanyika tarehe 5 Julai, 2025 hadi tarehe 10 Julai, 2025 kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili; Muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada; Kila

Continue reading

NAFASI za Kazi Mkulazi Holding Company Limited (MHCL)

Mkulazi Holding Company Limited (MHCL) ni kampuni ya umma inayomilikiwa kwa pamoja na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Kampuni hii ilianzishwa kwa lengo la kuwekeza katika sekta ya kilimo na viwanda, hususan katika uzalishaji wa sukari. MHCL inaendesha mradi mkubwa wa kilimo cha miwa na kiwanda

Continue reading

NAFASI za Kazi Uongozi Institute

Uongozi Institute ni taasisi ya kitaifa inayojikita katika kukuza uwezo wa viongozi na kuendeleza uongozi bora kwa maendeleo endelevu barani Afrika, hasa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Taasisi hii ilianzishwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Finland, ikiwa na lengo la kuandaa viongozi wenye maadili, maono na ufanisi katika sekta ya umma na binafsi. Kupitia programu

Continue reading
error: Content is protected !!