Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu 2025
Ziwa Victoria, Ni moja miongoni mwa maziwa makubwa zaidi Tanznia na Afrika, limekuwa kitovu cha usafiri wa majini kwa miongo mingi kati ya mkoa wa Mwanza na wilaya ya Bukoba. Leo katika makala hii tutaenda kukupa ufahamu zaidi juu ya nauli na ratiba ya meli mpya ya MV Victoria Hapa Kazi tu inayofanya safari zake kati ya mwanza na Bukoba.
Continue reading