Post Archive by Month: May,2025

MAJINA ya Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam Mei 2025

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 15 hadi 17 Mei, 2025 kuwa, majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Waombaji waliofaulu usaili watatakiwa kukamilisha taratibu mbalimbali za ajira kwa kufika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jengo la Utawala, Ofisi ya Masjala, Chumba Na.

Continue reading

Majina ya Walioitwa Kazini Halmashauri Ya Manispaa Ya Kinondoni Na Temeke 30 Mei 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 06-09-2024 na tarehe 05-04-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi

Continue reading

Nafasi 8 za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Ngara May 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA. 97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi ya

Continue reading

Nafasi 15 za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Biharamulo May 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo amepokea kibali cha utekelezaji wa Ajira mpya kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha terehe 29 Aprili, 2025. Hivyo, anawatangazia Watanzania wote wenye sifa na uwezo kutuma maombi kwa nafasi zifuatazo:- MWANDISHI MWENDESHA OFISI

Continue reading

Nafasi 6 za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Nyang`Hwale May 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang`hwale amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb. Na. FA. 97/228/01/A/25 cha tarehe 29.04.2025. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi kwa kada mbili (02) kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa: – MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (“Office Management Secretary II” NAFASI 04)  KAZI

Continue reading

Fei Toto Rasmi Kutua Simba Sc

Hatimae kiungo mshambuliaji wa klabu ya Azam Fc Feisal Salum Addallah (Fei Toto) inaelezwa kua tayari amelidhia kusajiliwa na Simba Sc baada ya kuwekewa dau kubwa la usajili ikiwa ni pamoja na mshahara kwa mwezi na marupurupu. Usajiri wa Feisal Salum Simba, Mshahara wake na Marupurupu Ada ya Usajili; Milioni 800 Mshahara kwa Mwezi; Milioni 50 Pesa za Ziada; Bonasi

Continue reading

Nafasi za Kazi HR World Limited May 2025

HR World Limited ni kampuni ya ushauri wa rasilimali watu inayojihusisha na utoaji wa huduma bora katika masuala ya ajira na maendeleo ya wafanyakazi. Kampuni hii ina uzoefu mkubwa katika kusaidia mashirika mbalimbali kupata vipaji vinavyofaa kwa nafasi mbalimbali za kazi kupitia mchakato wa kitaalamu wa usaili na tathmini. HR World Limited pia hutoa huduma za ushauri wa kitaalamu kuhusu

Continue reading

NAFASI za Kazi Vodacom May 2025

Vodacom Tanzania ni kampuni kuu ya mawasiliano ya simu nchini Tanzania, ikiwa chini ya usimamizi wa Vodafone Group. Ilianzishwa mwaka 2000 na kwa sasa ni moja kati ya watoa huduma wa simu wenye ushawishi mkubwa katika sekta hiyo. Kampuni hii inatoa huduma mbalimbali zinazojumuisha mawasiliano ya simu, intaneti ya kasi, na huduma za kifedha kama M-Pesa, ambayo imekuwa muhimu kwa

Continue reading

Nafasi za Kazi CVPeople Tanzania May 2025

CVPeople Tanzania ni kampuni inayojihusisha na huduma za usimamizi wa rasilimali watu, ikiwa ni pamoja na uajiri wa wafanyakazi, ushauri wa kazi, na maendeleo ya taaluma. Kampuni hii imejipatia umaarufu mkubwa nchini kutokana na uwezo wake wa kuwaunganisha waajiri na wataalamu wenye ujuzi mbalimbali. Kupitia jukwaa lake la kidijitali, CVPeople Tanzania hutoa nafasi mbalimbali za kazi, na pia huwasaidia wanaotafuta

Continue reading
error: Content is protected !!