Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga
    Michezo

    CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

    Kisiwa24By Kisiwa24January 17, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    CV ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

    Habari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo ambayo itaenda kuangazi ajuu ya Cv ya Jonathan Ikangolomba mchezaji mpya wa Yanga, hapa tutakugia tarifa kadhaa za mchezaji huyu kama vileUmiri wa Jonathan Ikangalombo, timu alizo wahikuchezea Jonathan Ikangalombo klabla ya kusajiliwa na Yanga SC pia tutatazama hitoria ya Jonathan Ikangalombo katika ulimwengu wa soka, maisha klabla ya soka ya Jonathan Ikangalombo

    CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji

    Jina kamili anaitwa Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo, amezaliwa tarehe 5 April 202 nchi DR Congo kwa sasa anaumri wa miaka 23, Hivyo kiasili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo yeye ni raia wa nchi ya DR Congo. Jonathan Ikangalombo anakimo kizuri cha ulefu kinachoweza kumfanya aweze kua na uhuru wa kucheza mipira ya aina yote hata ile ya juu kwani anaurefu wa Mita 1.80 ambao ni sawa na Sentimeta 180.

    Jonathan Ikangalombo akiwa uwanjani anaweza kutumika katika nafasi tofauti tofauti lakini kiuchezaji Jonathan Ikangalombo hucheza nafasi ya winga wa kulia japo anaweza kutumika pia katika nafasi ya winga wa kushoto na wakatimwingine kama mshabuliaji.

    Jonathan Ikangalombo Amecheza klabu kadhaa kabla kusajiliwa na Yanga katika dirisha dogo la usajili la January 2o25, klabu alizoweza kuchezea Jonathan Ikangalombo ni pamoja na DC Motemapembe pamoja na AS Vita zote za Nchini DR Congo.

    Kwa sasa Jonathan Ikangolomba yuko nchini Tanzania akitioa huduma yake katika klabu ya wana jangwani Yanga SC, amejiunga na Yanga tarehe 16 January 2025

    CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

    Maelzo ya CV ya Jonathan Ikongolomba kwa Kifupi

    CV ya Jonathani Ikangalombo

    1 Jina Kamili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo
    2 Umri Miaka 23
    3 Urefu Miter 1.80
    4 Tarehe ya Kuzalia 5 April 2002
    5 Uraia DR Congo
    6 Nafasi yake Uwanjani Winda wa Kushoto, kulia na mshambuliaji
    7 Timu alizowahi Kucheza DC Motemapembe, AS Vita – zote za Kongo
    Timu ya Sasa Yanga SC (16 January 2025)

     

    Tazama Video ya Utambulisho wa Jonathan Ikangalombo Yanga

     

    Umuhimu wa Usajili wa Jonathan Ikongalombo Yanga SC.

    Usajili huu unaumuhimu mkubwa sana kwa klabu ya Yanga ikiwa nisehemu ya kuendelea kufanya uboreshaji wa kikosi chake katika safu ya Winga, sasa kwa kipindi hiki ambacho klabu ya Yanga inaenda kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa Afrika na pia maandalizi ya msimu wa pili wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara 2024/2025.

    Mtarajajio ya Wanachi Kwenye Usajili wa Jonathani Ikongalombo

    Mashabiki wa klabu ya Yanga kama wajulikanavyo wananchi watarajie makubwa kutoka kwa mchezaji huyu kwani amekuja kuleta changamoto kubwa kwa baadhi ya wachezaji waliopo katika kikosi cha Yanga kitu kitakachoweza kuongeza uwajibikaji miongoni mwa wachezaji na kuleta matokeo chanya katika michezo itakayochezwa.

    Mapendekezo ya Mhariri

    1. Tetesi za Usajili Dirisha Dogo Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

    2. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

    3. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

    4. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

    5. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleVIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
    Next Article Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.