Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc
    Michezo

    CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

    Kisiwa24By Kisiwa24December 18, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc,Usajili wa Fahidi Bayo Yanga, Klabu ya Yanga iko mwinshoni kuweza kumsajili mshambuliaji wa taifa la Uganga Fahad Bayo kam mchezaji huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake na timu aliyokua akiitumikia.

    CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

    Fahad Bayo tayari amesha wasili nchini Tanzania kwa majilibio chini ya kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ili kuona kama anaweza kuchukua nafasi ya Jean Baleke amabye muda wowote anataweza kuondo klabuni hapo.

    katika makala hii tutaenda kuangazia kwa ufupi juu ya Cv ya Fahad Bayo kama mchezaji mpya wa timu ya Yanga. kama wewe ni shabi wa kweli wa Yanga basi utakua na shahuku ya kuweza kumfahamu kiundani Fahad Bayo.

    Taarifa Binafsi

    Jina; Fahidi Azizi Bayo

    Kuzaliwa ; 10 Mai 1998

    Umri; 26

    Utaifa: Mganda

    Kimo; futi 6 na nchi 1

    Nafasi Uwanjani; Mshambuliaji

    Maisha yake kwenye Soka

    Hapa tutaenda kuangali miongoni mwa timu alizowahi kuzichezea kabla ya kuijunga na klabu ya Yanga SC

    • MFK Vyskov (Czech),
    • FC Ashdod (Israel),
    • Bnei Sakhnin (Israel),
    • Buildcon FC (Zambia),
    • Vipers (Uganda)
    • Proline (Uganda).

    Fahad anakuja kujiunga na klabu ya Yanga kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kukamilika na klabu ya MFK Vyskov (Czech), akiwa na klabu ya MFK Vyskov (Czech) Bayo ameweza kucheza jumla ya michezo 42, katika mivchezo 42 aliyo cheza ameweza kufunga magoli 4 na kutoa assist moja.

    Lakini pia Bayo ameweza kuitumikia timu yake ya Taifa kwa michezo 21, katika michezo hiyo ameweza kufunga mabao 8 na kutoa assist ya bao moja, pia ameweza kushiriki kuchezea vilabu mbalimbali barani ulaya.

    Wewe kama sabiki wa Yanga yapi maoni yako juu ya usajili wa Fahad Azizi Bayo kutokana na CV yake hapo juu, embu acha maoni yako kupitia sehemu ya kommenti.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. TETESI  za Usajili Yanga SC 2024/2025

    2. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

    3. Msimamo wa Kundi la Yanga Club Bingwa Afrika 2024/2025

    4. Cv ya Sead Ramovic Kocha Mpya wa Klabu ya Yanga

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRatiba ya Mechi za Leo Jumatano 18/12/2024
    Next Article Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.