Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025
Michezo

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

Kisiwa24
Last updated: January 18, 2025 12:41 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

Habari mwana michezo wa Kisiwa24 Blog karibu katika kurasa hii itakayoenda kukupa uchambuzi wa kina juu ya mchezo wa Yanga dhidi ya MC Alger kwenye ligi ya mabingwa roundi ya 6 katika hatua ya makundi kusaka tiketi ya kuweza kufuzu hatua ya robo fainali.

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

Siku na Muda wa Mchezo

Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa siku ya jumamosi ya taree 18/01/2025 katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam majira ya 10:00 jioni. Huu ni mchezo wa marudiano baina ya timu zote 2 baada ya mchezo wa kwanza uliochezwa 07 December 2024 na Yanga iliweza kupoteza mchezo huo akiwa ugenini kwa kupokea kichapo cha goli 2 kwa sifuri.

Umuhimu wa Mchezo Huu

Mchezo huu ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio mchezo wa maamuzi ya timu ipi kati ya hizi mbili itaenda kuungana na Al Hilal katika kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali.

Kutokana na msimamo wa kundi A Tayari timu moja imesha fuzu hatua ya robo fainali (Al Hilal) timu ya pili itakayoungana na Al Hilal kutoka kundi A itategemea mcheo wa Yanga na MC Alger. MC Alger iko katika nafasi ya pili katika msimamo wa kundi A ikiwa na pointi 8, ili kufudhu hatua ianayofuata inahitaji sare tu katika mchezo huu.

Yanga SC yenyewe iko katika nafasi ya 3 katika msimamo wa kundi A ligi ya mabingwa Afrika ikiwa na pointi 7 pointi moja nyuma ya MC Alger ili Yanga iweze kusonga mbele kwenye hatua ya Robo fainali inahitaji ushindi wa mchezo huu wa pointi 3 ili ifikishe pointi 10.

Matarajio ya Mashabiki

Mashabi walio wengi wa soka nchini Tanzania hasa wale wa Yanga wanaimani kubwa juu ya klabu ya Yanga inayocheza mchezo huu katika uwanja wake wa nyumbani kuibuka na ushindi ili kuweza kujihakikishia kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika kwa msimu wa 2024/2025. Kwa upande mwingine MC Alger wanatumani kuhakikisha wanapata japo sare katika mchezo huu kama sio kushinda ili kujipa nafasi ya kusonga mbele.

Tathimini ya Mchezo

Mchezo huu yutakua wa upinzani mkubwa kani kila timu inahitaji matokeo chanya katika mechi hii. Mashabiki wa soka wasubilie kuona burudani nzuri katika mchezo huu na kuona wachezaji wakionyesha vipaji vyao na uwezo wao ndani ya uwanja katika dakika zotez 90 za mchezo.

Mapendekezo ya Mhariri

1. Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025

2. KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

3. Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?

4. CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

5. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?

Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Msimamo wa Kudi D Ligi ya Mabingwa Barani Afrika 2024/2025

Jumla ya Makombe ya Simba na Yanga

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025 Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025
Next Article Nafasi za Kazi Loan Recovery Officer Kutoka Serene Microfinance Limited Nafasi za Kazi Loan Recovery Officer Kutoka Serene Microfinance Limited
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Kikosi cha Yanga Sc vs JKU Sc leo 1 May 2025
Michezo

Kikosi cha Yanga Sc vs JKU Sc leo 1 May 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025
Michezo

Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Msimamo Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/2025
Michezo

Msimamo Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kikosi cha Simba vs Yanga Jumamosi Oktoba 19, 2024
Michezo

Kikosi cha Simba vs Yanga Jumamosi Oktoba 19, 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025
Michezo

Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025 (Caf Champions League Groups)

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
Michezo

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner