TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Yanga: Hatujawai Lipwa Misimu 3 na Hatuna Taarifa ya Kudaiwa TFF

Filed in Michezo by on June 10, 2025 0 Comments

Baada ya taarifa ya Yanga kujibiwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuhusu madai ya liyotolewa na mwanahabari wa klabu ya Yanga kupitia mkutano wa vyombo vya habari uliofanyika 09 June 2025 makao makuu ya klabu hiyo kuhusu kuidai TFF na Mdamini wa mashindano ya CRDB Federation Cup fedha za bingwa wa mshindano hayo Yanga imekuja na taarifa nyingine mpya kuendelea kukanusha kilichosemwa na TFF kua Yanga haiidai TFF bali Yanga walitoa hidhini kwa TFF kukata fedha zao za ushindi  ili kulipa madeni ya ada za wachezaji wa kigeni.

Taarifa mpya ya Yanga kwa Umma inadai kua TFF haijawahi kuilipa klabu hiyo fedha za ubingwa kwa takribani misimu 3 na kuendelea kuzishikilia fedha hizo kwenye akaunti zao japo inafahamu ni kinyme na sheria.

Kuhusu kudaiwa fedha za ada kwa wachezaji wa kigeni  Yanga imesema fedha za Ada za wachezaji wa kigeni hulipwa mwanzoni mwa msimu na fedha za bingwa wa mashindano ya CRDB Federation Cup hutlewa mwishoni mwa msimi. Taarifa hiyo imeenda mbali zaidi na kutoa ufafanuzi kua Yanga haijawahi pokea taarifa yoyote kuhusu kudaiwa na TFF.

Yanga: Hatujawai Lipwa Misimu 3 na Hatuna Taarifa ya Kudaiwa TFF

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *