TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Wafungaji Bora Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Filed in Michezo by on April 25, 2025 0 Comments

Wafungaji Bora Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025, Wafungaji Bora CAF Confederation Cup 2024/2025, CAF Confederations Cup Standing 2024/2025,CAF Confederation Cup Top Scores 2024/2025.  Vinara wa magoli kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025, Habari mwanamichezo wa Kisiwa24 Blog Karibu katika makala yako pendwa ya kimichezo ambayo kwa tathmini ya kina itaenda kuangazia juu ya orodha ya wafungaji bora CAF Confederation Cup Msimu wa 2024/2025.

Kama wewe ni shabiki na mfuatiliaji wa michuano hii ya kombe la shirikisho barani Afika basi utakua huna budi kuweza kufahamu ni wachezaji gani wanapigania kinyang’anyiro cha ufungaji bora ndani ya mashindano haya.Hadi sasa tari hatua ya makundi imesha kamilika na michuano hii inaelekea kwenyr hatua ya Robo fainali huku tukishuhudia klabu pekee inayoshiliki michuano hii kutokea Tanzania Simba SC ikifuzu hatua ya robo fainali kwa kuongoza kundi A.

Timu zilzioweza Kusonga Mbele Hatua ya Robo Fainali.

  1. CS Constantine
  2. Simba
  3. RSB Berkane
  4. Stellenbosch
  5. USM Alger
  6. ASEC
  7. Zamalek
  8. Al Masry

Timu zilizoweza Kufudhu Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

  1. Simba SC
  2. Stellenbosch FC
  3. RS Berkane
  4. CS Constantine

Wafungaji Bora Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Hapa chini ni orodha ya vinara wa magoli katika michuano ya kombe la shirikisho Afrika 2024/2025 (CAF Confederation Cup Top Scores 2024/2025)

# Mchezaji Timu Magoli Penati
1. Zakaria Benchaâ CS Constantine 5 0
2. I. Belkacemi USM Alger 5 1
3. K. Denis Simba 4 0
4. F. Ben Youssef AL Masry 4 0
5. I. Ihemekwele Enyimba 4 0
6. I. Dayo Renaissance Berkane 4 1
7. A. de Jong Stellenbosch 4 1
8. B. Dib CS Constantine 3 0
9. Zizo Zamalek SC 3 0
10. L. Ateba Simba 3 0
11. S. Diarrassouba ASEC Mimosas 3 0
12. Francisco Matoco Onze Bravos 3 0
13. P. Bassène Renaissance Berkane 3 0
14. S. Jaziri Zamalek SC 3 0
15. Y. Zghoudi Renaissance Berkane 3 0
16. L. Mojela Stellenbosch 3
17. J. Ahoua Simba 3 1
18. Joaquim Cristóvão Paciência Onze Bravos 3 1
19. J. Atule Enyimba 2 0
20. D. Titus Stellenbosch 2 0

Hitimisho

Kama yalivyokua mashindano mengine ya mpira wa miguu ligi ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa msimu huu mpya wa 2024/2025, umekua wa kusisimua zaidi huku wachezaji wakiendelea kupambana kutafuta ufungaji bora. Kutoka Tanzania kwenye klabu ya Simba mchezaji machachali Kibu Denis naye anazidi kupambana kuhakikisha anaingia kwenye nafasi ya juu zaidi katika orodha ya vinara wa magoli kwa msimu huu. Hatu aya makundi imesha pita na sasa tunasubulia kuanza kwa hatua ya robo fainali ili tuone mabadiliko ya orodha hii ya wafungaji bora kwenye ligi ya kombe la shirikisho barani Afrika 2025.

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *