Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025
    Michezo

    Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24April 27, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025, Katika dunia ya michezo Tanzania, vipaji vinaendelea kuvuma na kuvutia dau kubwa la mishahara. Mwaka 2025 umeleta sura mpya kwa wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi, huku soka likibaki kuwa mchezo unaolipa zaidi, lakini pia michezo kama netiboli na riadha ikianza kuchangia listi hii.

    Kama unashahuku ya kutaka kujia ni wachezaji gani na wanatoka klabu gani wanalipwa pesa ndefu zaidi kwenye ligi kuu ya NBC basi makala hii itakupa kila kitu unachotamani kukifahamu kwa msimu wa 2025.

    Ligi kuu ya NBC imekua ni miongoni mwa ligi bora zaidi Afrika mashariki na Afrika kwa ujumnla wake kwani kwenye ubora wa viwango vya CAF ligi ya Tanzania (NBC Premier League) inashika nafasi ya 5 kwa ubora barani Afrika.

    Hii ni kutokana na uwekezaji unaofanywa katika klabu zinazoshiriki katika ligi hiyo. Mfano kwa klabu kama Yanga, Simba na Azam wamewekeza pesa nyingi sana katika vilabu vyao na hivyo kuwavutia wachezaji wengi wazuri wa kimataifa kwa kuwalipa vizuri. Wamekua wakitoa mishahara mizuri kwa wachezaji hivyo kufanya wachezaji wenye uwezo mkubwa kutamani kucheza katika ligi hii.

    Kwa mujibu wa chanzo chetu hii ni orodha ya Wachezaji 10 wanaolipwa Mishahara mikubwa Ligi Kuu ya NBC.

    Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025

    1. Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh 32 Milioni
    2. Feisal Salum (Azam FC) – TSh 27 Milioni
    3. Clatous Chama (Yanga SC) – TSh 25 Milioni
    4. Fabrice Ngoma (Simba SC) – TSh 24 Milioni
    5. Pacôme Zouzoua (Yanga SC) – TSh 22 Milioni
    6. Alassane Diao (Azam FC) – TSh 20 Milioni
    7. Leonel Ateba (Simba SC) – TSh 20 Milioni
    8. Ayoub Lakred (Simba SC) – TSh 19 Milioni
    9. Prince Dube (Yanga SC) – TSh 19 Milioni
    10. Mohamed Hussein (Simba SC) – TSh 18 Milioni

    Orodha ya Wachezaji Wengine Wanaolipwa Mishahara Mizuri zaidi Tanzania

    Ukiachilia mbali wachezaji wa nne tuliowaweka kwenye orodha hapo juu pia katika ligi ya NBC kuna wachezaji wengine wengi tu wanaolipwa pesa nyingi zaidi kama mishahara yao kutokana na vipaji vyao vya uchezaji.

    Hapa chini ni orodha ya wachezaji wengine wanaolipwa pesa nyingi zaidi katika klabu zao

    • Luis Miquisone
    • Pacome Zouzoua
    • Saidoo Ntibanzokiza
    • Henock Inonga
    • Fabrice Ngoma
    • Djigui Diarra
    • Ayoub Lakred
    • Kibu Denis
    • Maxi Mzengeli

    Ukiangalia vizuri kutoka kwenye orodha hiyo hapo juu utaona kua vilabu kama Simba SC, Yanga SC na Azam FC ndio vinavyo ongoza kwa kulipa mishahara mizuri zaidi kwa wachezaji wake huku ligi kuu ya NBC ikiwa na ushiriki wa timu 16.

    Soma Pia;

     

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBiashara za Mtaji wa Laki Moja Tanzania 2025
    Next Article Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Usalama Wa Taifa 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202547 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202529 Views

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Usalama Wa Taifa 2025

    April 27, 202526 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202547 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202529 Views

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Usalama Wa Taifa 2025

    April 27, 202526 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.