TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Viwango Vipya Vya Mishahara ya Walimu 2025

Filed in Makala by on May 24, 2025 0 Comments

Walimu wa Serikalini

Hawa ni watumishi waliohiimu mafunzo ya uwalimu katika nganzi tofauti tofauti na kuajiliwa katika shule za kisarikali. Hawa ni watumishi wa kiuwalimu wanolipwa mishahara yao na serikali. Walimu ni watu muhimu sana katika Taifa kwani ndio kichocheo kikubwa cha kuondoa ujinga na kupandikiza maarifa kwa wananchi kupitia misingi na miongozo ya kitaaluma iliyowekwa na wizara ya elimu.

Hivyo basi ufanisi wa jukumu la mwalimu kwa wanafunzi wake huongezeka kwa kuwepo na maboresho ya mishahara yao na ndio maana serikali kupitia mamlaka husika hufanya mabadiliko ya ongezeko la mishahara ya walimu kila mwaka.Hii huhochea bidii na ufanisi wa walimu wawapo katika majukumu yao ya kuwafundisha wanafunzi.

Tume ya Utumishi wa Umma (Public Service Commission)

Tume ya utumishi wa Umma ndio chombo kikuu kinachojishughulisha na upangaji wa viwango vya mishahara ya watumishi wote wa Umma ikiwemo na walimu. Ikumbukwe kua viwango vya mishahara ya watumishi wa Umma hubadilika kila mwaka kutokana na mambo kadha wa kadha, kama vile

  • Mbadiliko ya Kiuchumi
  • Kupanda kwa Gharama za Maisha
  • Mabadiriko ya sera za Serikali
  • Kuongeza Motisha kwa wafanyakazi wa Umma

Viwango Vipya Vya Mishahara ya Walimu Serikalini

Viwango Vipya Vya Mishahara ya Walimu Serikalini 2025

Ngazi ya Mshahara Mshahara wa Mwanzo (Tshs.) Nyongeza ya Mwaka (Tshs.)
TGTS A
TGTS B
TGTS B.1 479,000 10,000
TGTS B.2 489,000 10,000
TGTS B.3 499,000 10,000
TGTS B.4 509,000 10,000
TGTS B.5 519,000 10,000
TGTS B.6 529,000 10,000
TGTS C
TGTS C.1 590,000 13,000
TGTS C.2 603,000 13,000
TGTS C.3 616,000 13,000
TGTS C.4 629,000 13,000
TGTS C.5 642,000 13,000
TGTS C.6 655,000 13,000
TGTS C.7 668,000 13,000
TGTS D
TGTS D.1 771,000 17,000
TGTS D.2 788,000 17,000
TGTS D.3 805,000 17,000
TGTS D.4 822,000 17,000
TGTS D.5 839,000 17,000
TGTS D.6 856,000 17,000
TGTS D.7 873,000 17,000
TGTS E
TGTS E.1 990,000 19,000
TGTS E.2 1,009,000 19,000
TGTS E.3 1,028,000 19,000
TGTS E.4 1,047,000 19,000
TGTS E.5 1,066,000
TGTS E.6 1,085,000
TGTS E.7 1,104,000
TGTS E.8 1,123,000
TGTS E.9 1,142,000
TGTS E.10 1,161,000
TGTS F
TGTS F.1 1,280,000 33,000
TGTS F.2 1,313,000
TGTS F.3 1,346,000
TGTS F.4 1,379,000
TGTS F.5 1,412,000
TGTS F.6 1,445,000
TGTS F.7 1,478,000
TGTS G
TGTS G.1 1,630,000 38,000
TGTS G.2 1,668,000
TGTS G.3 1,706,000
TGTS G.4 1,744,000
TGTS G.5 1,782,000
TGTS G.6 1,820,000
TGTS G.7 1,858,000
TGTS H
TGTS H.1 2,116,000 60,000
TGTS H.2 2,176,000
TGTS H.3 2,236,000
TGTS H.4 2,296,000
TGTS H.5 2,356,000
TGTS H.6 2,416,000
TGTS H.7 2,476,000

Mambo yanayoleta Utofauti katika Mishahara ya Walimu

Viwango vya mishahara tulivyoviweka hapo juu si mpango wa kubahatisha tu ni matokeo ya mkusanyiko wa sababu mbali mbali uliopelekea kuwepo vya utofauti wa mishahara ya walimu wa umma katika viwango mbali mbali.

Hapa chini ni miongoni mwa sababu zinazopelekea kuwepo kwa utofauti wa mishahara baina ya walimu

1. Kigezo cha elimu

Elimu ya wahitimu wa mafunzo ya uwalimu moja kwa moja yana athiri kiwango cha  mshahara kwa mwalimu husika. Mfano walimu wa Tanzania hugawanywa katika makundi makuu matatu

  1. Walimu wa Cheti ( Certificate)
  2. Walimu wa ngazi ya Diploma ( stashahada)
  3. Walimu wa Digree ( Shahada)

Katika swala la mshahara  hapa lazima kuwe na utofauti mwalimu wa digree hawezi kua na mshahara sawa na mwalimu wa cheti.

2. Shule Wanazotumikia.

Hapa tunaangalia kati ya shule binafsi na zile za umma, kumekua na utofauti mkubwa sana wa kimishahara kati ya walimu wa shule binafsi na wale wa shule za serikali. kwa mfano walimu wa shule ya msingi katika shule za binafsi analipwa mshahara mkubwa sana kuliko yule anayefundisha katika shule za msingi za serikali.

3. Kujiendeleza Kielimu

Kwa wale waotumia muda wao katika kujienedeleza kielimu pia hubadili viwango vayo ya mishahara, mfano kwa aliyekua na elimu ya stashahada na alikua akilipwa mshahara wa kiwango cha stashada akajiendeleza kielimu hadi kufikia shahada hata kiwango cha mshahara wake kitaongezeka kutoka cha mwanzo kwenda cha juu.

4. Muda katika Utumishi

Hapa tunazungumzia muda alioutumia mwalimu katika kazi zake mwalimu aliyehudumu kwa miaka 20 kazini katika ngazi ilele ile ya kielimu hawezi kua na mshahara sawa na mwalimu aliyekua na mwaka mmoja kazini.

5. Ufanisi wa Mwalimu

Ufanisi wa kikazi wa mwalimu pia unaweza kua chahu ya yeye kuweza kungezewa mshahara au posho ili kuweza kuwa kama motisha katika kazi yake, Pindi inapofanyika tathimini ya kiutendaji na ikagundulika kuwa juhudi na ufanisi wa mwalimu ni mkubwa katika utumishi wake basi anaweza kufanyiwa nyongeza ya mshahara wake au posho.

Soma Pia;

1. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Dar es Salaam

2. Aina Za Majeshi Tanzania

3. Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2024

4. Bei ya iPhone 16 ProTanzania 2024

5. Orodha ya Kambi za JKT Tanzania

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *