TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025

Filed in Michezo by on January 30, 2025 0 Comments

Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025, Habari siku ys jumamosi ya tarehe 01/202/2025 mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC watakua nyumbani katika uwanja wa KMC Complex wakiikalibisha klabu ya Kagera Sugar kutokea jijini Kagera.

Mchezo huu ni mchezo wa kumalizia hatua ya mzunguko wa kwanza ambao haukufanyika hapo awali kutokana na ushiriki wa klabu ya Yanga katika michuano ya kimataifa ya klabu bingwa Afrika. Yanga anaingia uwanjani kumenyana na Kagera Sugar baada ya kutolewa katika hatua ya makundi huku kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC akiwa katika nafasi ya 2.

Kuelekea mchezo huu tayari bei za tiketi zimesha tangazwa na hapa katika makala hii tutaenda kukuonyesha vituo vya kununulia tiketi za kwenda kutizama mchezo huu katika dimba la KMC Complex jijini Dar es Salaam maeneo ya Mwenge.

Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025

Hapa chini ni orodha ya vitua ambako mashabiki wa soka wataweza kunualia tiketi za kwenda kutizama mchezo huu

  1. Young Africans – Jangwani
  2. Vunja Bei – Dar Es Salaam Shops
  3. T-Money Ltd – Kigamboni
  4. Gitano Samweli – Mbagala Zakiem
  5. Khalfan Mohamed – Ilala
  6. Lampard Electronics
  7. Godwin Fredy – Geita
  8. Twisty Investment – Geita
  9. Gwambina Lounge – Gwambina
  10. Karoshy Pamba – Dar Live (Zakhiem)
  11. Antonio Service – Sinza, Kivukoni
  12. Tumpe Kamwela – Kigamboni
  13. Sovereign – Kinondoni Makaburini
  14. View Blue Skyline – Mikocheni
  15. Mkaluka Traders – Machinga Complex
  16. New Tech General Traders – Ubungo
  17. Sabana Business – Mbagala Maji Matitu
  18. Juma Burrah – Kivukoni
  19. Juma Burrah – Msimbazi
  20. Alphan Hinga – Ubungo
  21. Mtemba Service Co – Temeke
  22. Jackson Kimambo – Ubungo
  23. Shirima Shop – Leaders

Bei za Tiketi Za Mchezo Huu

Kwa mashabi wa soka wanaotarajia kwend katika uwanja wa KMC Complex kuweza kushuhudia mchezo huu live basi ni vyema kuweza kutambua bei za tiketi na hapa kwa kifupi zaidi tumeweza kukuwekea viingilio vya mchezo huu.

Mzunguko – Tsh 10,000

VIP A – Tsh 20,000

Mambo ya Msingi ya Kuzingati Kwenye Mchzo Huu

1. Hakikisha kama unaenda uwanjani uweze kununua tiketi mapema zaidi

2. Kama ni shabiki wa Yanga au Kagera Sugar basi unaweza kuvaa jezi ya timu yako

3. Hakikisha unafika uwanjani mapema zaidi na kukaa kwenye kiti chako

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 2 February 2025

2. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

3. Ligi Bora Africa 2025

4. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!