Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika
Michezo

Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

Kisiwa24By Kisiwa24August 13, 2024No Comments1 Min Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

 

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti amesema wamekuja nchini kuitoa Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.

Vital’O imepangwa kucheza na Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na mchezo huo utafanyika Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

Arsene alisema wanaiheshimu Yanga SC, lakini hiyo haiwafanyi waihofie na wamekuja Tanzania kwa ajili ya kazi hiyo ya kuwatoa kwa kuwa wameifuatilia vyema.

“ Tumekuja hapa kwa kazi moja tu. Kuwatoa Yanga SC. Tuna kila kitu ambacho wao wameshinda. Hatutishiko nao.

“ Tumewafuatilia katika michezo yote ambayo wamecheza kule Afrika Kusini hadi hapa Tanzania, hivyo tunaenda kucheza na timu tunayoifahamu vyema “ alisema Arsene.

Arsene aliongeza kuwa Yanga SC ina mashabiki wengi Burundi kutokana na wachezaji Ammis Tambwe, Saidoo Ntibazonkiza na Didier Kavumbagu kuwahi kuitumikia timu hiyo.

Michezo hiyo miwili ya nyumbani na ugenini ya Yanga SC dhidi ya timu hiyo itachezwa nchini Tanzania kutokana na Burundi kukosa uwanja wenye sifa ya kutumika katika mechi za CAF.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleHabari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024
Next Article Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Agosti 2024
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025443 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025441 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.