Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»VITA ya Ubingwa NBC Premier League 2024/2025
Michezo

VITA ya Ubingwa NBC Premier League 2024/2025

Kisiwa24By Kisiwa24May 27, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Ikiwa msimu wa 2024/2025 wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara unaelekea mwisho vita ya nani atakua bingwa wa msimu  huu inaendelea kua kali huku timu kubwa za ligi hii Simba Scna Yanga Sc ziki zidi kuonyeshana ubabe.

Hadi kufikia sasa ligi kuu ya NBC Tanzania bara imesalia na michezo 3 jumla ya michezo 27 imesha chezwa. Msimamo wa ligi kwa nafasi ya kwanza na nafasi ya 2 ni utofauti wa alama 1 tu.

Yanga Sc aliyoko katika nafasi ya kwanza inaongoza ligi ikiwa na jumla ya pointi 73 huku ikisaliwa na michezo 3 tu kukamilisha michezo yote 30.

Huku Simba Sc iliyoko katika nafasi ya 2 inajumla ya pointi 72 pointi moja nyuma ya klabu ya Yanga Sc huku ikiwa imecheza michezo 27 na kusalia na michezo mitatu tu.

Mechi za Yanga Sc Zilizobakia Ligi Kuu ya NBC 2024/2025

 

Mechi za Simba Sc Zilizobakia Ligi Kuu ya NBC 2024/2025

 

Kama ikitoke timu zote 2 zikashinda michezo miwili ya mwisho basi mchezo wa derby ya karia koo ndio utakao amua nani bingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu huu wa 2024/2025.

Uamuzi wa Mchezo wa Simba vs Yanga Kwa Bingwa wa Ligi Kuu ya NBC Msimu wa 2024/2025

Kulekea mchezo huu baada ya timu zote kushinda michezo yote miwili ya mwisho matokeo yatakua hivi

  • Yanga Sc Alama 79
  • Simba Sc Alama 78

– Kama mchezo utamalizika kwa Yanga kuibika na ushindi basi yanga atakua amefikisha alama 82 na ataawazwa kua bingwa wa ligi kuu ya NBC 2024/2025

– Kama Simba Sc itaibuka na ushindi katika mchezo huu basi Simba ndie atakuwa bingwa wa ligi hii  kwa kufikisha pointi 81.

– Pia kama mchezo utamalizika kwa sare ya aina yoyote ile basi Yanga atakua bingwa kwani atamaliza ligi akiwa ba pointi  80 huku Simba akiwa na pointi 79.

Swali ni je nani kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara 2024/2025.

Embu acha utabili wako kwenye comment hapo chini

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleSimba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025
Next Article MATOKEO Ya Simba Sc vs Singida Black Stars Leo 28 Mei 2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025443 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025441 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.