VIINGILIO Yanga Sc vs Simba Sc 25 June 2025

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Baada ya michezo ya round ya 30 ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025 kumalizika siku ya jumapili ya tarehe 22 june 2025. Tarehe 25 Taifa linaenda kushuhudia Derby ya Kariakoo baina ya klabu ya Yanga na Simba.

VIINGILIO Yanga Sc vs Simba Sc 25 June 2025

Mchezo huu kwa timu hizi mbili ni mchezo wa kiporo utakaoenda kukamilisha michezo yote 30 kwa timu hizi na kuamua nani kua bingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025

Melezo Ya Mcheoz

Ligi: Ligi kuu ya NBC 2024/2025

Mechi: Mchezo wa 184 (Kiporo)

Timu: Yanga Sc vs Simba Sc

Uwanja: Benjamini Mkapa, Dar es Salaam

Muda: Saa 10:00 Jioni

VIINGILIO Yanga Sc vs Simba Sc 25 June 2025

Hapa chini ni viingilio vya mcheoz wa Yanga Sc vs Simba Sc klabu tarehe 25 juni 2025

VIINGILIO Yanga Sc vs Simba Sc 25 June 2025

Leave your thoughts

error: Content is protected !!