NAFASI ZA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025 (BOFYA HAPA)

_________________________________________________

BARUA YA KUOMBA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025(BOFYA HAPA)

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

VIINGILIO Simba Sc vs Mashujaa 5 May 2025

Filed in Michezo by on May 1, 2025 0 Comments

Baada ya kipindi kilefu klabu ya wekundu wa msimbazi Simba Sc kusimama kucheza mechi za ligi kuu ya NBC Tanzania bara hatimae 2 May 2025 inarejea tena katika michuano ya ligi kuu ya NBC kwa kuwakaribisha Mashujaa FC katika uwanja wa KMC Complex majira yasaa 4:00 jioni jijini Dar es Salaam.

Kuelekea mchezo huo Simba Sc kama klabu ya nyumbani imesha tangaza viingilio vya mchezo huo. Kisiwa24 Blog tuko hapa kuhakikisha tunakuletea viingilio vya mchezo huo kama vilivyo tangazwa.

Viingilio Mechi ya Simba Sc vs Mashujaa 5 May 2025

Mzunguko; Tsh 10,000

VIP A: Tsh 20,000

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!