Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025
Makala

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Habari mwanamichezo wa Kisiwa24 blog, karibu kwenye makala hii fupi ya kimichezo itakayoenda kuangazia juu ya viingilio vya mchezo wa Klabu ya Yanga dhidi ya TP Mazembe kutoka Dr Congo kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika kwa msimu wa 2024/2025 ikiwa ni mchezo wa roundi ya 4.

Viingilio Yanga SC vs TP Mazembe

Hapa chini ni mpangilo wa viingilio vya mchezo wa kati ya Yanga SC na TP Mazembe 04 January 2025

Mzunguko (Orange) – Tsh 5,000

VIP C – Tsh 10,000

VIP B – Tsh 20,000

VIP A – Tsh 30,000

Tazama picha ili kupata mwongozo kamili wa viingilio vya mchezo wa Yanga SC dhidi ya TP Mazembe kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika t

Mahari mechi Itakapochezwa

Mchezo huu kati ya Yanga vs TP Mazembe utachezwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam kunako majira ya saa Kumi za jioni (10:00 Pm)

Yanga SC anakutana na TP Mazembe katika mchezo wa marudiano huku mchezo wa mwisho wa round ya 3 kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika TP Mazembe aliikaribisha Yanga kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Astede TP Mazembe na mchezo huo uliisha kwa sare ya 1-1.

Umuhimu wa Mechi hii kwa Klabu ya Yanga

Yanga ninahitaji mchezo huu kwa kiasi kikubwa.Ili iweze kukufua matumaini ya kuendela mbele lazima klabu ya Yanga iweze kushinda mchezo huu wa nyumbani.

Matumaini ya Mashabiki wa Yanga

Mashabiki wa klabu ya Yanga wanamatumaini makubwa sana juu ya klabu yao hasa ukizingatia ubora uluonyeshwa na wachezaji wake kwenye michezo ya kunga msimu wa kwanza wa ligi kuu ya NBC 2024/205 mcheo wa mwisho wa Yanga dhidi ya Fountane Gate, Yanga iliiibuka na ushindi wa goli 5-0.

Mapendekezao ya Mhariri

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025

Orodha ya Maswali ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleOrodha ya Maswali ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025
Next Article Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025439 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025416 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.