Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025
Michezo

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025

Kisiwa24By Kisiwa24January 30, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025, Bei ya tiketi mechi ya Yanga vs Kagera Sugar Jumamosi 01/02/2025, Habari karibu katika kurasa hii ya kimichezo ambayo kwa kina itaenda kukupa mwongozo wa viingilio kwenye mchezo wa kipolo wa ligi kuu ya NBC utakaofanyika siku ya Jumamosi tarehe 01/02/2025 kwenye uwanja wa KMC Complex ulioko jijini Dar es Salaam maeneo ya Mwenge.

Baada ya Ligi kuu ya NBC kusimama kwa takribani mwezi mmoja siku ya jumamosi inaanza tena kwa mzunguko wa 2 lakini utaanza kwa kumalizia viporo vya timu mbili ya Yanga SC na Simba Sc ili kukamilisha mechi za mchezo wa Kwanza.

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025

Kuelekea mchezo wa february 01, 2025 kati ya Yanga SC vs Simba SC tayari bei ya tiketi kwenye mchezo huo zimesha tangazwa hivyo basi ikiw unataka kwenda kushuhudia mchezo huu huna budi kufahamu viingilio harisi vya mchezo huu.

Hapa chini tumekuwekea viingilio harisi kwa mchezo huu wa Yanga vs Kagera Suger, Viingilio vya mchezo huu vimegawanywa katika makundi makuu mawili Mzunguko na VIP A.

Mzunguko – Tsh 10,000

VIP A – Tsh 20,000

 

Tathimini ya Mchezo

Mchezo huu utakua wa kuvutia huku Yanga ikihitaji mchezo huu kwa hali na mari kwani hadi sasa kwenye msimamo wa ligi klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 2. Kwa sasa Yanga haishiriki mashindano yoyote yale ya kimataifa baada ya kuondolewa katika hatua ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Afrika, Hivyo basi nguvu na juhudi kwa klabu hii zitarejeshwa kwenye ligi kuu ya NBC na kufanya mechi hii kua ya kuvutia azaidi.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

2. Ligi Bora Africa 2025

3. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

4. Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika

5. Orodha Ya Mabingwa Klabu Bingwa Afrika

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleTabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?
Next Article Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025
  • Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025
  • Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara
  • Coastal Union Vs Yanga Leo 7 Dec 2025 Saa Ngapi?
  • Simba vs Azam Leo 07 December2025 Saa Ngapi?

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025618 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025374 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025307 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.