Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025
    Michezo

    Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 30, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025, Bei ya tiketi mechi ya Yanga vs Kagera Sugar Jumamosi 01/02/2025, Habari karibu katika kurasa hii ya kimichezo ambayo kwa kina itaenda kukupa mwongozo wa viingilio kwenye mchezo wa kipolo wa ligi kuu ya NBC utakaofanyika siku ya Jumamosi tarehe 01/02/2025 kwenye uwanja wa KMC Complex ulioko jijini Dar es Salaam maeneo ya Mwenge.

    Baada ya Ligi kuu ya NBC kusimama kwa takribani mwezi mmoja siku ya jumamosi inaanza tena kwa mzunguko wa 2 lakini utaanza kwa kumalizia viporo vya timu mbili ya Yanga SC na Simba Sc ili kukamilisha mechi za mchezo wa Kwanza.

    Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025

    Kuelekea mchezo wa february 01, 2025 kati ya Yanga SC vs Simba SC tayari bei ya tiketi kwenye mchezo huo zimesha tangazwa hivyo basi ikiw unataka kwenda kushuhudia mchezo huu huna budi kufahamu viingilio harisi vya mchezo huu.

    Hapa chini tumekuwekea viingilio harisi kwa mchezo huu wa Yanga vs Kagera Suger, Viingilio vya mchezo huu vimegawanywa katika makundi makuu mawili Mzunguko na VIP A.

    Mzunguko – Tsh 10,000

    VIP A – Tsh 20,000

     

    Tathimini ya Mchezo

    Mchezo huu utakua wa kuvutia huku Yanga ikihitaji mchezo huu kwa hali na mari kwani hadi sasa kwenye msimamo wa ligi klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 2. Kwa sasa Yanga haishiriki mashindano yoyote yale ya kimataifa baada ya kuondolewa katika hatua ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Afrika, Hivyo basi nguvu na juhudi kwa klabu hii zitarejeshwa kwenye ligi kuu ya NBC na kufanya mechi hii kua ya kuvutia azaidi.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

    2. Ligi Bora Africa 2025

    3. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

    4. Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika

    5. Orodha Ya Mabingwa Klabu Bingwa Afrika

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?
    Next Article Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.