Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024
Michezo

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024

Kisiwa24By Kisiwa24November 21, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024, Habari mwana michezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo itakayoenda kukuhabarisha juu ya bei ya tiketi ya mechi ya Yanga Vs Al Hilal Sudani itakayo chezwa siku ya jumanne 26 Novemba 2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia majira ya saa 16:00 za jioni.

Yanga itaingia uwanja katika mchezo wake wa kwanza kwenye hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika kwa kuikaribisha Al Hilal Sudani tarehe 26 Novemba 2024.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Kufuatia mchezo huo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika klabu ya Yanga nimetangaza viingilio vya mchezo huo huku ikitarajiwa mashabiki wengi wa klabu hiyo kuweza kununua tiketi zao mapema kwenda kuipa nguvu timu yao.

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024
Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan

Viingilio vya mchezo huu vimegawanywa katika makundi manne kulingan na hadhi ya nafasi;

  • Mzunguko (Machungwa): Tsh 3,000
  • VIP C: Tsh 10,000
  • VIP B: Tsh 20,000
  • VIP A: Tsh 30,000

Viingilio vimekua rafiki na nafuu ili kuwawezesha mashabiki wa klabu ya Yanga na wapenzi wote wa mpira wa soka kuweza kumudu kununua tiketi na kushuhudia mchezo huo live.

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024

Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Al Hilal 26/11/2024

Baada ya kutangazwa viingilio rasmi vya mchezo wa Yanga dhidi ya Al Hilal Sudani pia vituo vitakavyotumika kununulia tikeki kwa ajili ya mchezo huo vimetangazwa na huduma ya ununuzi tiketi unaendelea.

Hapa chini ni ordha ya vituo vya kukunua tiketi mechi ya Yanga Vs Al Hilal 26 novemba 2024

  • Young Africans – Jangwani
  • Vunja Bei – Dar es Salaam Shops
  • T-Money Ltd – Kigamboni
  • Gitano Samwel – Mbagala Zakhem
  • Khalfan Mohamed – Ilala
  • Lampard Electronics
  • Gwambina Lounge – Gwambina
  • Karoshy Pamba – Dar Live (Zakhem)
  • Antonio Service – Sinza, Kivukoni
  • Tumpe Kamwela – Kigamboni
  • Sovereign – Kinondoni Makaburini
  • View Blue Skyline – Mikocheni
  • Mkaluka Traders – Machinga Complex
  • New Tech General Traders – Ubungo
  • Sabana Business – Mbagala Maji Matitu
  • Juma Burrah – Kivukoni
  • Juma Burrah – Msimbazi
  • Alphan Hinga – Ubungo
  • Mtemba Service Co. – Temeke
  • Jackson Kimambo – Ubungo
  • Shirima Shop – Leaders

Viingilio Mechi Ya Yanga Vs Al Hilal Sudan Jumanne 26 Novemba 2024

Jezi Mpya Za Yanga Kimataifa 2024/2025 (Jezi Za Yanga CAF 2024/2025)

Baada ya kutangaza viingilio vya mchezo wa Yanga dhidi ya Al Hilal Sudan Klabu ya Yanga pia imezindua jezi zake mpya ikakazozitumia kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika. Ambapo jezi hizo zime gawanywa katika makundi matatu

  1. Home Kit
  2. Away Kit
  3. Third Kit

Hapa chini ni picha za wachezaji wa klabu ya Yanga wakiwa wamevalia jezi mpya z klabu hiyo ya Yanga kwa michuano ya CAF Champions League mumsimu wa 2024/2025

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

2. Jezi Mpya Za Simba SC Kimataifa Msimu Wa 2024/2025

3. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

4. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 (EPL Fixtures 2024/2025)

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMajina Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (Mocu) Novemba 2024
Next Article Nafasi Mpya Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa ya Musoma Novemba 2024
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025782 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025471 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025444 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.