Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

Orodha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025, Tayari msimu mpya wa ligi ya NBC umecha anza kutimua vumbi huku timu 16 zikishiriki michuano hiyo.

Hapa katika makala hii tutaenda kukuwekea orodha ya timu zote 16 zinazoshiriki kwenye ligi kuu ya NBC Bara kwa msimu wa 2024/2025.

Oordha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

Hapa chini ni orodha ya timu 16 zinazoshiriki michuano ya ligi kuu ya NBC Tanzania bara 2024/2025

  1. Azam
  2. Simba
  3. Singida Black Stars
  4. Young Africans
  5. Tabora United
  6. Fountain Gate
  7. Mashujaa
  8. JKT Tanzania
  9. Kinondoni MC
  10. Coastal Union
  11. Dodoma Jiji
  12. Namungo
  13. Pamba Jiji
  14. Kagera Sugar
  15. Tanzania Prisons
  16. KenGold

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!