Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2025
    Michezo

    Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24September 6, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2025

    Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2025 – Timu ya Yanga imeanza kuuza tiketi za tamasha la kilele cha Wiki ya Mwananchi 2025, litakalofanyika tarehe 12 September 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Hii ni fursa muhimu kwa mashabiki wa Yanga kujumuika pamoja na kusherehekea klabu yao. Tiketi zimeanza kuuzwa katika Makao Makuu ya Klabu Jangwani, maduka ya TTCL nchi nzima, na kupitia mitandao ya simu.

    Ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa 2025/2026 klabu ya Yanga tayari imesha weka hadharani viingilio vitakavyo tumika kwenye sherehe za wiki ya Mwanachini

    Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram klabu ya yanga imesha weka gharama za viingilio kwa wiki ya mwananchi itakayofanyika siku ya tarehe 12/09/2025.

    Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2025

    Viwango vya Tiketi:

    Hapa chini ni mwongozo wa bei za tiketi za sherehe ya Wiki ya Mwananchi

    Mzunguko – Tsh 5,000

    Orange – Tsh 10,000

    Vip C – Tsh 15,000

    Vip B – Tsh 30,000

    Vip A – Tsh 50,000

    Royal – Tsh 300,000

    VVIP – Tsh 600,000

    Jinsi ya Kununua tiketi za Wiki ya mwananchi kupitia mitandao ya Simu

    Maeneo ya Kununua Tiketi:

    1. Makao Makuu ya Klabu Jangwani: Tiketi zinapatikana kwa urahisi kwa mashabiki wanaoishi karibu na makao makuu ya klabu.
    2. Maduka ya TTCL Nchi Nzima: Mashabiki wanaweza kupata tiketi kwenye maduka ya TTCL yaliyoenea kote nchini.
    3. Mitandao ya Simu: Kwa urahisi zaidi, tiketi zinaweza kununuliwa kupitia huduma za mitandao ya simu, kurahisisha upatikanaji wake bila kwenda moja kwa moja kwenye vituo vya mauzo.

    Mashabiki wote wa Yanga wanahimizwa kuchukua tiketi mapema ili kuepuka usumbufu na kuhakikisha wanapata nafasi ya kushiriki katika tamasha hili kubwa la Wiki ya Mwananchi 2025.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBei ya Simu za Samsung Zanzibar
    Next Article MAJINA ya Wailioitwa Kazini Tume ya Utumishi wa Mahakama
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202547 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202529 Views

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Usalama Wa Taifa 2025

    April 27, 202526 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202547 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202529 Views

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Usalama Wa Taifa 2025

    April 27, 202526 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.