TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

TETESI  za Usajili Yanga Sc 2025/2026

Filed in Michezo by on May 7, 2025 0 Comments

TETESI  za Usajili Yanga SC 2025/2026, usajili wa Yanga 2025/2026, Wachezai waliosajiliwa Yanga msimu wa 2025/2026, Habari shabiki wa klabu ya Dar Young Africans ali maarufukama Yanga au wana jangwani, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupasha habari za kina kuhusu tetesi za usajili wa Yanga kwa msimu huu wa 2025/2026.

TETESI  za Usajili Yanga SC 2025/2026

Ikiwa tayari michezo kadhaa ya ligi kuu ya NBC Tanzania bara imesha pigwa na Yanga hadi sasa kuelekea ukufunguliwa kwa drisha dogo la usajili January 2025 ip kwenye nafasi ya 3 ikiwa imesha cheza michezo takribani 11 huku Azam inayoongoza ligi ikiwa imesha cheza michezo 14, utofauti huu unatokana na klabu ya Yanga kushiriki katika michuano ya kimataifa ya ligi ya mabingwa barani Afrika.

Kutokana na michezo iliyochezwa tayari benchi la ufundi la Yanga limesha gundua wapi kwa kufanya marekebisho na kuhitaji kufanya usajili wa wachezaji wapya ili kuendela kuimalisha kikosi chake kwa michuano ya ligi kuu kw kujihakikishia kutwaa kombe hilo kwa mara nyingine tena huku pia kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika.

TETESI  za Usajili Yanga SC 2025/2026 Kwenye Dirisha Dogo la Usajili

Kuelekea kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili klabu ya Yanga imehusishwa na kutaka kuwasajili wachezaji mbali mbali wa ndani na nje ya Tanzania. Hapa chini ni miongoni mwa wachezaji wanaosadikika kuhitajika na klabu ya Yanga kwa msimu huu wa 2025/2026

  1. Kelvin Nashon
  2. Harvey Onoya
  3. Fredy Michael Koublan
  4. Kambou Dramane
  5. Lameck Lawi
  6. Abdallah Said Lanso
  7. Fahad Bayo
  8. Lasinne Kouma
  9. Mamadou Koita
  10. Jonathan Ikangalombo
  11. Israel Mwenda
  12. Micky Harvey Ossete
  13. Lauren Makame

Usajili wa Yanga Dirisha Dogo

Yanga inakusudia kufanya usajili wa wachezaji wapya ili kuenedelea kuboresha kikosi chake kwenye idara mbalimbali ili kuweza kujihakikishia ushindi kwenye mechi mbalimbali kwenye ligi kuu ya NBC na hata michuano ya ligi ya mabingwa Afrika

Ushiriki wa Yanga Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika

Klabu ya Yanga ndio klabu pekee kwa sasa inayoshgiriki michuano ya klabu bingwa Afrika kutoka Tanzania na Afrika Mashariki. Yanga imepagwa katika kundi A pamoja na

  1. TP Mazembe (DR Congo)
  2. Al Hilal SC (Sudan)
  3. MC Alger (Algeria)

Hadi sasa Yanga imecheza jumla ya michezo 3, huku ikifungwa michezo miwili na kutoa sare mchezo mmoja dhidi ya TP Mazembe.

Hivyo basi usajili wa Yanga kwenye dirisha dogo January 2025 utakua na maufaa sana kwenye kuongeza nguvu na kuimalisha kikosi

Je wewe kama shabiki wa Yanga unadhani kwa kiwango cha sasa cha klabu yako ya Yanga ni wachezaji gani wangepaswa kusajiliwa kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo?, embu acha maoni yako hapo chini kupitia sehemu ya kuandikia comment.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania

2. Cv ya Sead Ramovic Kocha Mpya wa Klabu ya Yanga

3. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa

4. Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

5. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *