TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tetesi za Usajili Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026

Filed in Michezo, Tetesi za Usajili by on May 7, 2025 0 Comments

Tetesi za Usajili Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026

Hapa tutaenda kuangali tetesi za usajili kwa baadhi tetesi za usajili kwa baadhi ya vilabu vikubwa vinavyoshitiki katika ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2025/2026

Usajili katika Klabu ya Simba

Baada ya kucheza michezo kadhaa ya ligi kuu na ile ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa msimu wa 2025/2026. Klabu ya simba inahusishwa na kuwania saini ya baadhi ya wachezaji ambao inahitaji huduma yao baada ya kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili hapo January 2025.

Hadi sasa Klabu ya Simba kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC iko katika nafasi ya 2 ikiwa na jumla ya alama 28 huku ikiwa imecheza michezo 11 kuelekea kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili

Orodha ya wachezaji wanaotarajiwa kusajiliwa na Simba Kwenye Dirisha Dogo la Usajiri January 2025

  1. Foday Trawally
  2. Abdelhay Forsy
  3. Sabri Kondo
  4. Charles Senfuko
  5. Kambou Dramane
  6. Lameck Elias Lawi
  7. Ibrahima Seck
  8. Allan Okello
  9. Lasinne Kouma

Licha ya kufanya ingizo jipya la wachezaji kwenye usajili wa dirisha dogo lakini Simba SC inadaiwa kuweza kuwaacha baadhi ya wachezaji kama vile

  1. Fabrice Ngoma
  2. Ayoub Lakred

TETESI Za Usajili Yanga SC 2025/2026

Klabu ya Yanga SC nayo haiko nyuma katika dirisha hili la usajili. Timu hii imepanga kuwaongezea mikataba mipya wachezaji wake muhimu kama Salum Abubakar, Jonas Mkude, Bakari Nondo Mwamnyeto, na Kibwana Shomari. Uimarishaji huu wa kikosi ni dalili ya nia yao ya kutetea ubingwa wao na kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa. Bonyeza hapa kusoma zaidi tetesi za Yanga.

TETESI Za Usajili Azam FC 2025/2026

Kwa upande wa Azam FC, klabu hiyo imeachana na beki wake, Malickou Ndoye, na inatarajiwa pia kuachana na wachezaji wengine kama Abdulai Idrisu, Issah Ndala, pamoja na Ali Ahmada. Mchezaji Cheikh Sidibe ameomba kuondoka ndani ya klabu hiyo, huku golikipa wao Mohamed Mustapha akitarajiwa kurejea Al-Merreikh baada ya mkopo wake wa miezi sita kumalizika.

 

TETESI Nyingine za Usajili

  • Golikipa Hussein Masalanga: Amekuwa huru baada ya mkataba wake na Ihefu FC kumalizika.
  • Golikipa Yona Amosi: Anatafuta timu mpya baada ya mkataba wake kumalizika ndani ya Tanzania Prisons FC.
  • Klabu ya Pamba Jiji: Inatajwa kuwa mbioni kumsajili aliyewahi kuwa kocha wa Simba SC, Goran Kopunovic.
  • Klabu ya Mashujaa: Ipo kwenye mazungumzo ya kumuongeza mkataba mpya golikipa wake, Erick Johora, ambaye alijiunga na timu hiyo kutoka Geita Gold.
  • Dodoma Jiji: Imewasilisha ofa kwa golikipa Sebu Sebu baada ya mkataba wake na Geita Gold kumalizika.
  • Geofrey Muha na Sebu Sebu Samsoni: Wote wapo huru baada ya mikataba yao na Geita Gold kufikia tamati na wanawaniwa na vilabu vya KMC FC, Kengold, na Tanzania Prisons.
  • Jaff Kibaya: Ameachana na Singida Black Stars na sasa yupo huru kutafuta timu mpya.

Vilabu vya Ligi Kuu Tanzania Bara vinaonekana kuwa na kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha wanapata wachezaji sahihi watakaoimarisha vikosi vyao. Mashabiki wa soka nchini Tanzania wanatarajia kuona usajili mzuri ambao utaleta ushindani wa hali ya juu katika msimu ujao wa 2025/2026. Endelea kufuatilia habari hizi hapa ili kujua zaidi kuhusu usajili na mabadiliko ndani ya vilabu vya Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kiungo mkabaji Kelvin Nashon anatakiwa Young Africans

3. Larry Bwalya anawindwa na Singida Black Stars na Pamba Jiji
4. Kiungo raia wa DRC, Harvey Onoya anatakiwa na Yanga
5.Kiungo Mbrazil, Bruno Gomez anaweza kurejea Singida Black Stars
6. Kuna uwezekano mkubwa Kwa mchezaji wa Singida Black Stars kupelekwa Young Africans Kwa mkopo/ makubaliano maalumu
7. Kibwana Shomary anatakiwa KMC Kwa mkopo

9. Fredy Michael Koublan anatakiwa na Young Africans
10. Kuna mtifuano unaendelea kati ya kocha Gamond, baachi ya wachezaji wa Yanga.

14. Salim Mwalimu anatakiwa Azam FC
15. Kambou Dramane anawindwa Yanga

17. Kocha Abdelhamid Moalin atakuwa kocha msaidizi wa Young Africans akimsaidia kocha mkuu mpya
18. Jonathan Sowah amesajiliwa Singida Black Stars

20. Lameck Lawi anakaribia kujiunga Young Africans kama mambo hayatabadilika

24. Beki wa kulia wa KMC , Abdallah Said Lanso anatakiwa na Young Africans
25. CEO wa Yanga, Andre Mtine naye anaweza kutimuliwa
26. Mwanasheria wa Yanga, Simon Patrick naye amekalia kuti kavu
27. Kama mambo hayatabadilika, Singida Black Stars itawapa Yanga mchezaji wao mpya Jonathan Sowa huku Yanga wakiwapa Kennedy Musonda kwa mkopo
28. Striker raia wa Uganda, Fahad Bayo anawindwa na Young Africans baada ya kuachana na timu yake
29. Kiungo Lasinne Kouma anazivutia Yanga na Azam fc
30. Yanga SC inawinda saini ya Kiungo raia wa Mali, Mamadou Koita
31. Winga wa AS Vita, Jonathan Ikangalombo anatakiwa na Young Africans
32. Kiungo mkabaji toka Singida Black Stars, Kevin Nashon anawindwa vikali na Young Africans
33. Israel Mwenda anatakiwa na Yanga
34. Kiungo Micky Harvey Ossete anatakiwa na Young Africans
35. Thank you Ayoub Lakred
36. Thank you Jean Baleke
37. Lauren Makame anatakiwa na Young Africans
38. Mashabiki wa Gamond, wajiandae kuhamia Singida Black Stars
39.

Soma Pia;

Ligi Bora Africa 2024

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2024

CAF Orodha Ya Vilabu Bora Afrika 2024/2025 

Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *