Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Ten Hag Atimuliwa Man Utd
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Ten Hag Atimuliwa Man Utd
Michezo

Ten Hag Atimuliwa Man Utd

Kisiwa24
Last updated: October 28, 2024 4:01 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Ten Hag Atimuliwa Man Utd, Baada ya kuitumikia klabu ya Mancherster United kwa takribani miaka miwili na na miezi kadhaa hatimae kocha mkuu wa klabu hiyo Erik ten Hag amefukuzwa kazi kutokana na mfururizo wa matokeo mabovu ya timu hiyo.

Maamuzi ya klabu ya Man United kumfuta kazi Ten Hag yamekuja baada ya mechi ya jumapili dhidi ya West Ham United ambapo matokeo ya mchezo huo yalikua 2-1 kwa Man United kupoteza mchezo huo.

Kocha Ten Hag amefukuzwa kazi huku klabu hiyo ikiwa katika nafasi ya 14 katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza kwa kuawa na pointi 11 huku ikiwa imecheza michezo 9 katika ligi hiyo.

Nafasi ya Man UTD Katika Ligi Kuu ya Uingereza

Position Club Played GD Points
14 Man Utd 9 -3 11
15 Leicester 9 -4 9
16 Everton 9 -6 9
17 Crystal Palace 9 -5 6
18 Ipswich 9 -11 4
19 Wolves 9 -13 2
20 Southampton 9 -13 1

Ten Hag alianza kuitumikia klabu hiyo ya mashetani wekundu mnamo mwaka 2022 mwezi April kama kocha mkuu wa timu hiyo.

Baada ya kufutwa kazi kwa kocha mkuu wa Man utd aliyekua kocha msaidizi wa timu hiyo Ruud van Nistelrooy amepewa nafasi ya kushika ukocha mkuu wa klabu hiyo kipindi hiki ambacho timu hiyo haina kocha mkuu.

Ten Hag Atimuliwa Man Utd
Ten Hag Atimuliwa Man Utd

Safari ya Ten Hag Ndani ya Manchester Utd

Kama tulivyosema kocha Ten Hag alijiunga na klabu ya Man Utd mnamo mwezi April 2022 na hii ndio likua safari yake kwenye ligi kuu ya uingereza

  • Amecheza michezo 85
  • Ameshida michezo 44
  • Ametoa Droo Michezo 15
  • Amefungwa Michezo 27
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Ratiba Ya Mechi Za KenGold FC Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Simba kucheza na El-Qanah mchezo wa kirafiki 22 July 2024

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika Hadi 2025

CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC

Ratiba Ya Mechi za Chelsea Zilizobaki Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) 2024/2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025 Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025
Next Article Rodri Mshindi Wa Ballon d'Or Msimu wa 2024 Rodri Mshindi Wa Ballon d’Or Msimu wa 2024
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026
Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro
Nauli ya Basi Dar to Morogoro
Kampuza za Mabasi na Nauli zake
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Makala
Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Form Six Results 2025/2026
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Makala

You Might also Like

Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika
Michezo

Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi
Michezo

Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi?

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
KIKOSI cha Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025
Michezo

KIKOSI cha Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Vilabu 1000 Bora Duniani kwa Mwaka 2024
Michezo

Vilabu 100 Bora Duniani kwa Mwaka 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
Michezo

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc
MichezoTetesi za Usajili

CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner