MATANGAZO YA KAZI
BOFYA HAPA
Ten Hag Atimuliwa Man Utd, Baada ya kuitumikia klabu ya Mancherster United kwa takribani miaka miwili na na miezi kadhaa hatimae kocha mkuu wa klabu hiyo Erik ten Hag amefukuzwa kazi kutokana na mfururizo wa matokeo mabovu ya timu hiyo.
Maamuzi ya klabu ya Man United kumfuta kazi Ten Hag yamekuja baada ya mechi ya jumapili dhidi ya West Ham United ambapo matokeo ya mchezo huo yalikua 2-1 kwa Man United kupoteza mchezo huo.
Kocha Ten Hag amefukuzwa kazi huku klabu hiyo ikiwa katika nafasi ya 14 katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza kwa kuawa na pointi 11 huku ikiwa imecheza michezo 9 katika ligi hiyo.
MATANGAZO YA KAZI
BOFYA HAPA