Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
Michezo

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

Kisiwa24
Last updated: November 16, 2024 10:04 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa mwongozo wa mechi kati ya Ethiopia na Tanzania unaofanyika leo jumamosi 16-11-2024

Leo Tanzania inakutana na Ethiopia ugenini ikiwa imecheza michezo minne katika michuano ya kufudhu AFCON ikiwa imeshinda mchezo 1, imedraw mchezo mmoja na kufungwa michezo 2, kwa sasa Tanzania ina jumla ya pointi 4 ikiwa katika nafasi ya 3.

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

Hapa tutaenda kuangalia kikosi cha Taifa Stars (Tanzani) dhidi ya Ethiopia, Msimamo wa Africa Cup of Nations qualification kwa gourp H. Tanzania inakuna na ethiopia ikiwa katika nafasi ya 3 huku ethiapia akiwa katika nafasi ya nne, Tanzania anahitaji pointi 3 katika mchezo huu ili kuweza kujisogeza katika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 7 kwani kwa sasa ana pointi 4.

Kikosi Cha Taifa Stars (Tanzania) Vs Ethiopia

Hapa chini ni majina ya wachezaji 23 amabo wameitwa kwenye Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenye michuano ya kufudhu AFCON 2025

  1. Ally Salim – Simba SC
  2. Abdultwalib Mshery – Young Africans
  3. Yona Amos – Pamba SC
  4. Lusajo Mwaikenda – Azam FC
  5. Nathaniel Chilambo – Azam FC
  6. Mohamed Hussein – Simba SC
  7. Dickson Job – Young Africans
  8. Pascal Msindo – Azam FC
  9. Ibrahim Hamad – Young Africans
  10. Bakari Nondo – Young Africans
  11. Nickson Kibabage – Young Africans
  12. Abdulmalik Zakaria – Mashujaa FC
  13. Adolf Mtasigwa – Azam FC
  14. Himid Mao – Tala’a El Geish, Misri
  15. Novatus Dismas – Goztepe, Uturuki
  16. Mudathir Yahya – Young Africans
  17. Hussein Semfuko – Coastal Union
  18. Edwin Balua – Simba SC
  19. Feisal Salim – Azam FC
  20. Wazir Junior – Dodoma Jiji
  21. Cyprian Kachwele – Vancouver Whitecaps, Canada
  22. Clement Mzize – Young Africans
  23. Abel Josiah – TDS TFF Academy

Kikosi cha Taifa Stars Kufuzu AFCON 2025

Hapo juu ni majina ya wachezaji wanaounda kikosi cha Taifa la Tanzania (Staifa Stars) na kutoka katika majina hayo miongoni mwao ndio watakao unda kikosi cha leo cha Taifa Stars dhidi ya Ethiopia.

Munda wa Kuanza Kwa Mechi

Mchezo huu unatarajiwa kuanza majira ya saa 19:00 jioni

Timu Zinazo Unda Group H

Kundi H amabalo Tanznia imo linaundwa na timu 4 ambazo ni

  1. Dr Congo
  2. Guinea
  3. Tanzania
  4. Ethiopia

Msimao wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

Kundi H lenye timu 4, ilnaongoza na Dr Congo, hapa chini ni msimamo wa kundi H kwenye kufudhu AFCON 2025

  1. Dr Congo – anajumla ya pointi 12
  2. Guinea – anajumla ya pointi 6
  3. Tanzania – anajimla ya pointi 4
  4. Ethiopia – anajumla ya pointi 1

Matokeo ya Tanzania vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16/11/1014

mchezo unatarajiwa kuanza majira ya 19:00 za jioni, hivyo basi mara baada ya mchezo kuanza na kumalizika tutakuwekea hapa matokeo ya mchezo huo

Ethiopia 0 – 0 Tanzania

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025

Kikosi cha Yanga Vs TP Mazembe Leo 04 Januari 2025

Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF

Msimamo wa Ligi ya Italia Serie A 2024/2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni
Next Article Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi
Michezo

Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi?

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025
Michezo

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Viingilio Mechi ya Derby Yanga vs Simba 8 Machi 2025
Michezo

Viingilio Mechi ya Derby Yanga vs Simba 8 Machi 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
MakalaMichezo

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read

Jumla ya Makombe ya Simba na Yanga

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner