Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
Michezo

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

Kisiwa24By Kisiwa24November 16, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa mwongozo wa mechi kati ya Ethiopia na Tanzania unaofanyika leo jumamosi 16-11-2024

Leo Tanzania inakutana na Ethiopia ugenini ikiwa imecheza michezo minne katika michuano ya kufudhu AFCON ikiwa imeshinda mchezo 1, imedraw mchezo mmoja na kufungwa michezo 2, kwa sasa Tanzania ina jumla ya pointi 4 ikiwa katika nafasi ya 3.

Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024

Hapa tutaenda kuangalia kikosi cha Taifa Stars (Tanzani) dhidi ya Ethiopia, Msimamo wa Africa Cup of Nations qualification kwa gourp H. Tanzania inakuna na ethiopia ikiwa katika nafasi ya 3 huku ethiapia akiwa katika nafasi ya nne, Tanzania anahitaji pointi 3 katika mchezo huu ili kuweza kujisogeza katika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 7 kwani kwa sasa ana pointi 4.

Kikosi Cha Taifa Stars (Tanzania) Vs Ethiopia

Hapa chini ni majina ya wachezaji 23 amabo wameitwa kwenye Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenye michuano ya kufudhu AFCON 2025

  1. Ally Salim – Simba SC
  2. Abdultwalib Mshery – Young Africans
  3. Yona Amos – Pamba SC
  4. Lusajo Mwaikenda – Azam FC
  5. Nathaniel Chilambo – Azam FC
  6. Mohamed Hussein – Simba SC
  7. Dickson Job – Young Africans
  8. Pascal Msindo – Azam FC
  9. Ibrahim Hamad – Young Africans
  10. Bakari Nondo – Young Africans
  11. Nickson Kibabage – Young Africans
  12. Abdulmalik Zakaria – Mashujaa FC
  13. Adolf Mtasigwa – Azam FC
  14. Himid Mao – Tala’a El Geish, Misri
  15. Novatus Dismas – Goztepe, Uturuki
  16. Mudathir Yahya – Young Africans
  17. Hussein Semfuko – Coastal Union
  18. Edwin Balua – Simba SC
  19. Feisal Salim – Azam FC
  20. Wazir Junior – Dodoma Jiji
  21. Cyprian Kachwele – Vancouver Whitecaps, Canada
  22. Clement Mzize – Young Africans
  23. Abel Josiah – TDS TFF Academy

Kikosi cha Taifa Stars Kufuzu AFCON 2025

Hapo juu ni majina ya wachezaji wanaounda kikosi cha Taifa la Tanzania (Staifa Stars) na kutoka katika majina hayo miongoni mwao ndio watakao unda kikosi cha leo cha Taifa Stars dhidi ya Ethiopia.

Munda wa Kuanza Kwa Mechi

Mchezo huu unatarajiwa kuanza majira ya saa 19:00 jioni

Timu Zinazo Unda Group H

Kundi H amabalo Tanznia imo linaundwa na timu 4 ambazo ni

  1. Dr Congo
  2. Guinea
  3. Tanzania
  4. Ethiopia

Msimao wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

Kundi H lenye timu 4, ilnaongoza na Dr Congo, hapa chini ni msimamo wa kundi H kwenye kufudhu AFCON 2025

  1. Dr Congo – anajumla ya pointi 12
  2. Guinea – anajumla ya pointi 6
  3. Tanzania – anajimla ya pointi 4
  4. Ethiopia – anajumla ya pointi 1

Matokeo ya Tanzania vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16/11/1014

mchezo unatarajiwa kuanza majira ya 19:00 za jioni, hivyo basi mara baada ya mchezo kuanza na kumalizika tutakuwekea hapa matokeo ya mchezo huo

Ethiopia 0 – 0 Tanzania

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleJinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni
Next Article Jinsi Ya Kutoa Pesa Kwenye ATM Ya CRDB Kupitia M-Pesa
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025424 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.