Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    A geek Daddy: CARRERA Go Slot Car Rushing

    November 12, 2025

    Fishin’ Madness Slot Play for 100 percent free Instantaneously On casino Supreme Play no deposit bonus the web

    November 12, 2025

    Eksemestan przed Po – Jak Działa i Na Co Zwrócić Uwagę?

    November 12, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali za Umma March 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali za Umma March 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24March 4, 2025Updated:March 4, 2025No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali za Umma March 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali za Umma March 2025

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), Shirika la Uvuvi (TAFICO) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 11-03-2025 hadi 28-03-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

    1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

    2. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)

    3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

    4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Leseni ya Udereva au barua ya utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka.

    5. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV, VI, Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

    6. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

    7. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

    8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

    9. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

    10. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

    11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

    12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili.

    Bonyeza HAPA kupakua PDF ya Majina

    Kwa Matangazo ya Ajira Bonyeza HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

    November 12, 2025

    NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

    November 12, 2025

    NAFASI za Kazi CRDB Bank Plc

    November 12, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025607 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025531 Views

    Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Dodoma 2024/2025

    October 16, 2024223 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025607 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025531 Views

    Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Dodoma 2024/2025

    October 16, 2024223 Views
    Our Picks

    A geek Daddy: CARRERA Go Slot Car Rushing

    November 12, 2025

    Fishin’ Madness Slot Play for 100 percent free Instantaneously On casino Supreme Play no deposit bonus the web

    November 12, 2025

    Eksemestan przed Po – Jak Działa i Na Co Zwrócić Uwagę?

    November 12, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.