Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025

NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024
Ajira

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

Kisiwa24By Kisiwa24September 8, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia
(MJNUAT) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa
kuendeshwa kuanzia tarehe 14-09-2024 hadi 18-09-2024 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemuĀ  ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

2. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

3. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

4. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

5. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza
matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA
HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

6. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

7. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

8. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

9. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

10. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

11. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa siku ya usaili.

BONYEA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

2. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Kada Za Afya Majina Ya Nyongeza

3. Nafasi Mpya 35 Za Kazi Taasisi ya Dar es Salaam Maritime (DMI)

4. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
Next Article Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania

December 6, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs
  • NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii
  • NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania
  • NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali
  • Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngara

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

December 3, 2025284 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025260 Views

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025253 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.