Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

Kisiwa24
Last updated: September 8, 2024 6:01 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia
(MJNUAT) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa
kuendeshwa kuanzia tarehe 14-09-2024 hadi 18-09-2024 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024

1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu  ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

2. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

3. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

4. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

5. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza
matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA
HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

6. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

7. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

8. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

9. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

10. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

11. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa siku ya usaili.

BONYEA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

2. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Kada Za Afya Majina Ya Nyongeza

3. Nafasi Mpya 35 Za Kazi Taasisi ya Dar es Salaam Maritime (DMI)

4. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Nafasi za Kazi – Data and Evidence Specialist at Foundation for Civil Society (FCS)

Nafasi za Kazi – Product Associate at Educate!

Nafasi za Kazi – Territory Manager at Kyosk.app February 2025

Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Agosti 2024

MAJINA YA walioitwa KWENYE USAILI Utumishi 2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024 Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
Next Article Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024 Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

18 Job Vacancy at ITM Tanzania Limited April 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

18 Job Vacancy at ITM Tanzania Limited April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Nafasi za Kazi - ICT Teacher at Arusha Institute of Technology (AIT) March 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – ICT Teacher at Arusha Institute of Technology (AIT) March 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Nafasi za Kazi - Teacher Job Opportunities at Aga Khan Education Service March 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – Teacher Job Opportunities at Aga Khan Education Service March 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Majina Ya Walioitwa Kenye Usaili Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Mei 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Majina Ya Walioitwa Kenye Usaili Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Mei 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Majina Ya Walioitwa Kazini Utumishi Mei 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

PDF: Majina Ya Walioitwa Kazini Utumishi Mei 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner