Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024
    Ajira

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24August 19, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

    Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania anapenda kuwataarifu waombaji waliokidhi vigezo katika tangazo la Ajira ya Mkataba nafasi ya MKUZA MITAALA SOMO LA UTALII (TOURISM) kuwa, usaili unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 29/08/2024 hadi 30/08/2024 saa mbili Kamili Asubuhi katika Ofisi za Makao Makuu ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) zilizopo MwengeBamaga Karibu na Ofisi za Baraza la Mitihani la Tanzania, Jijini Dar es Salaam.

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

    Wasailiwa walioitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

    1. Kila Msailiwa anatakiwa kufika akiwa amevaa NADHIFU.

    2. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

    3. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI (ORIGINAL), kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI na Shahada.

    4. Wasailiwa watakaowasilisha (Testimonials, Provisional Results, Statement of results) hati za matokeo HAZITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

    5. Kila Msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

    6. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

    7. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wanatakiwa kufika na Hati za Uhakiki wa Vyeti vyao kutokakwa Mamlaka zinazohusika (kama TCU, NACTE au NECTA).

    8. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindinafasi za kazi zitakapotangazwa kwa kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

    MWAJIRI: MKURUGENZI MKUU, TAASISI YA ELIMU TANZANIA
    KADA: MKUZA MITAALA DARAJA LA II (UTALII)
    MAHALI: USAILI WA KUANDIKA NA MAHOJIANO UTAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO, MAKAO MAKUU, TAASISI YA ELIMU TANZANIA
    TAREHE NA MUDA WA USAILI WA KUANDIKA: 29/08/2024 SAA 2:00
    ASUBUHI TAREHE NA MUDA WA USAILI WA MAHOJIANO: 30/08/2024 SAA 2:00
    ASUBUHI.

    Download PDF HAPA

    Mapendekezo ya mhariri:

    1. Jinsi Ya Kuangalia Salio La NSSF Kwa Njia ya Simu

    2. Jinsi Ya Kulipia King’amuzi Cha Azam Tv 

    3. Jinsi ya Kujiunga na Mfumo wa Maombi ya Ajira TAMISEMI

    4. Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA Kwa Njia ya SMS

    5. Jinsi Ya Kuangalia Deni La Gari 2024 (TMS Traffic Check)

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024
    Next Article Nafasi Mpya 4 Za Kazi Kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Agosti 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.