Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

Kisiwa24
Last updated: August 30, 2024 2:40 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapendakuwataarifuWaombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02-09-2024hadi12-09-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

Wasailiwawanaoitwakwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemuambapousaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

2. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)

3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, KitambulishochaMpigakura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulishokutokaSerikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka.

5. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidatochaIV,VI,Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeananasifazaMwombaji.

6. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatizamatokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWANAHAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

7. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

9. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa nakuidhinishwanaMamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

10. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwahawakukidhivigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatiamahitajiyatangazo husika.

11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswakujanavyetivyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao nakunakili nambaya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili

13. Wasailiwa wote mnajulishwa kuwa hali ya hewa ya Jiji la Dodoma ni baridi hivyo mnashauriwakuvaanguo zinazohimili hali ya hewa ya ubaridi.

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE

Mapenedekezo Ya Mhariri;

1. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora

2. Mshahara wa Mkurugenzi wa Halmashauri

3. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

4. Nafasi Mbali Mbali Za kazi zilizotangazwa Agosti 2024

5. Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala 

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Motokeo ya Usaili wa Vitendo Utumishi Uliofanyika 03 Mei 2025

Nafasi Mpya za Kazi ya Mikataba Kwa Kada Za Afya December 2024

Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Banki ya Standard December 2024

Nafasi za kazi Msaidizi Wa Ufugaji Nyuki Daraja La II Nafasi 47 August 2024

Nafasi za Kazi – Public Relations Manager at Dangote Industries Limited

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Nauli Mpya Za Mabasi Ya Mikoa LATRA: Nauli Mpya Za Mabasi Ya Mikoani
Next Article Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Nafasi za Kazi - GW Greenhouse Maintenance (Roster Recruitment) at Enza Zaden Africa March 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – GW Greenhouse Maintenance (Roster Recruitment) at Enza Zaden Africa March 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Nafasi za Kazi - Training Coordinator at EACOP March 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – Training Coordinator at EACOP March 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Nafasi Mpya 6 za Kazi Ya Walimu Mount Kibo Schools
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Mpya 6 za Kazi Ya Walimu Mount Kibo Schools

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Water Treatment Technical Operator Job Vacancy at GSM April 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Water Treatment Technical Operator Job Vacancy at GSM April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Nafasi 4 za Kazi Kutoka Puma Group February 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi 4 za Kazi Kutoka Puma Group February 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner