
KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 25 June 2025
Leo 25 June 2025 Tanzania inaenda kushuhudia mchezo muhimu wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara unaowakutanisha Yanga Sc dhidi ya Simba Sc kwenye mchezo wa 184 mchezo wa kiporo. Mchezo huu ndio utakao amua nani kua bingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2024/2025. Kuelekea mchezo huu Kisiwa24 Blog tunakuletea […]