WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Taarifa Muhimu Kwa Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi Leo 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on June 2, 2025 0 Comments

Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa uma  inapenda kuwakumbusha waombaji Ajira wote walioitwa kwenye usaili kuhusu utaratibu wa majina kwenye vyeti vyao.

  • Kama kuna tofauti ya herufi, ufupisho wa jina au matumizi ya majina mawili katika vyeti vya taaluma huku katika cheti cha kuzaliwa/Kitambulisho cha taifa au mpiga kura yapo matatu ambayo yamebeba mawili yanayoonekana katika vyeti vya taaluma, unapaswa kuwasilisha kiapo cha jina (Affidavit).
  • Majina tofauti, kuongezeka kwa jina, kubadilika kwa jina la ukoo au baba au lolote au yote, kuunganishwa kwa majina mawili, unapaswa kuwasilisha gati ya kubadilisha jina (Deed Poll) iliyosajiliwa.

Maelezo kwa Habari Picha

Taarifa Muhimu Kwa Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi 2025

Ili Kupata Matangazo ya AJIRA Mpya Kila Siku BONYEZA HAPA

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *