Nauli Mpya Za Treni Ya Mwendokasi SGR, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .
Baada ya muda mrefu sasa treni ya mwendokasi imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro hadi Dodoma. Treni hii ina madaraja ya aina tatu , daraja la kawaida, daraja la kati na daraja la juu.
Tanzania baada ya miaka mingi kuwa nyuma ya teknolojia sasa imeanza mwanzo mpya wa kushuhudia mapinduzi ya kiusafiri.
Hivyo basi hapa tutaenda kukupa mwongozo wa nauli za treni ya mwendokasi kwa madaraja yote matatu kutoka Dar es salaam – Morogoro hadi dodoma.
Vigezo Vilivyotumika Kupanga Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR
Hapa ni mwongozo wa vigezo viliovyotumika katika kupanga nauli za treni ya mwendokasi
- Umbali
- Umri wa Abiria
Kwa kuzingatia kigezo cha umli mamlaka imetaja kua watoto wenye umri wa zaidi ya miaka 12 na watu wazima nauli kwa umbali wa kilomita moja itakua Tsh 69.51, kwa watoto wenye umri kuanzia miaka 4 hadi 12 nauli imetajwa kua Tsh. 34.76 kwa kilomita moja. Na kwa watoto wote walio chini ya umri wa miaka 4 watasafiri bure

Nauli Mpya za treni ya mwendokasi SGR
Nauli za Trein ya Mwendokasi Kwa Daraja la Kawaida kwa Kigezo Cha Umbali
Hapa chini ni mwongozo wa nauli ya treni ya mendokasi SGR kwa daraja la kawaida kwa kuzingatia kigezo cha umbali
Kutoka Dar es Salaam kweenda Pugu
- Umbali wa safari ni Kilimeta -19
- Nauli ni Tsh 1000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Soga
- Umbali ni Kilomita – 51
- Nauli ni Tsh 4000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Ruvu
- Umbali ni Kilomita – 73
- Nauli ni Tsh 5000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Ngerengere
- Umbali ni Kilomita 134.5
- Nauli ni Tsh. 9000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Morogoro
- Umbali ni Kilomita 192
- Nauli ni Tsh 13000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Mkata
- Umbali ni Kilomita 229
- Nauli ni Ths 16000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Kilosa
- Umbali Ni kilomita 265
- Nauli ni Tsh 18000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Kidete
- Umbali ni Kilomita 312
- Nauli ni Tsh. 22000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Gulwe
- Umbali Ni Kilomita 354.7
- Nauli ni Tsh. 25000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Igandu
- Umbali ni kilomita 387.5
- Nauli ni Tsh. 27000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Dodoma
- Dar es Salaam Kenda Dodoma
- Umbali ni Kilomita 444
- Nuli ni Tsh 31000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Bahi
- Umbali ni kilomita 501.6
- Nauli ni Tsh 35000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Makutupora
- Umbali ni Kilomita 531
- Nauli ni Tsh. 37000
Kama tulivyosema hapo awali mchanganuo wa anaulio hapo juu umezingatia kigezo cha umbali utoka Dar es Salaam kwenda kituo kingine kama vile tumeona nauli ya treni ya mwendokasi SGR kutoka Dar es Salaam kwenda morogoro na vile vile nauli ya treni ya mwendokasi SGR kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kwa daraja la kawaida na kuzingatia umbali wa safari kwa kilometa.
Nauli za Treni ya Mwendokasi kwa Abiria mwenye umri kati ya miaka 4 hadi 12
Kama tulivyosema vigezo vilivyoweza kutumika katika kupanga nauli za treni ya mwendokasi ni pamoja na kigezo cha umri, abiria wenye umri kuaniza miaka 12 na kuendelea nauli yao ni Tsh 69.51 kwa kilomita moja, na kwa watoto wenye umri kati ya miaka 4 hadi 12 ni Tsh 34.76 kwa kilomita moja.
Hapa tutaenda kukuonyesha nauli ya abiria wenye umri kati ya miaka 4 hadi 12 kutoka Dar es Salaam kwenda kituo kingene hadi Morogoro hado Dodoma kwa treni za daraja la kawaida
Kutoka Dar es Salaam Hadi Pugu
- Umbali ni Kilomita 19
- Nauli ni Tsh 500
Kutoka Dar es Salaam Hadi Soga
- Umbali ni Kilomita – 51
- Nauli ni Tsh 2000
Kutoka Dar es Salaam Hadi Ruvu
- Umbali ni Kilomita – 73
- Nauli ni Tsh 2500
Kutoka Dar es Salaam Hadi Ngerengere
- Umbali ni Kilomita 134.5
- Nauli ni Tsh. 4500
Nauli ya Treni ya Mwendikasi SGR Kutoka Dar es Salaam Hadi Morogoro
- Kutoka Dar es Salaam Hadi Morogoro
- Umbali ni Kilomita 192
- Nauli ni Tsh 6500
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Mkata
- Umbali ni Kilomita 229
- Nauli ni Ths 8000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Kilosa
- Umbali Ni kilomita 265
- Nauli ni Tsh 9000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Kidete
- Umbali ni Kilomita 312
- Nauli ni Tsh. 11000
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Gulwe
- Umbali Ni Kilomita 354.7
- Nauli ni Tsh. 12500
Nauli ya Kutoka Dar es Salaam Hadi Igandu
- Umbali ni kilomita 387.5
- Nauli ni Tsh. 13500
Kutoka Dar es Salaam Hadi Dodoma
- Dar es Salaam Kenda Dodoma
- Umbali ni Kilomita 444
- Nuli ni Tsh 15500
Kutoka Dar es Salaam Hadi Bahi
- Umbali ni kilomita 501.6
- Nauli ni Tsh 17500
Kutoka Dar es Salaam Hadi Makutupora
- Umbali ni Kilomita 531
- Nauli ni Tsh. 18500
Mambo ya Kuzingatia
- Hakikisha inakata tiketi kupitia njia zilizowekwa
- Soma nauli kabla ya kwenda kuanza safari
- Kumbuka kituo cha kushuka uwapo safarini
- Tunza mazingira ya behewa uwapo safarini
- Weka taka za aina yoyote ile mahara husika
Soma Pia;
Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam Hadi Morogoro
RATIBA ya Treni za SGR Dar es Salaam hadi Dodoma
Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.
Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku