WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Singida Yaifuta Yanga Fainali ya CRDB Confederation Cup

Filed in Michezo by on June 1, 2025 0 Comments

Klabu ya Singida Black Stars imefanikiwa kuweza kufudhu  kwenda hatua ya fainali ya michuano ya CRDB Confideration Cup kwa msimu wa 2024/2025 baada ya kuichakaza klabu ya Simba Sc kwa magoli 3 kwa 1.

Mchezo huu wa nusu fainali ya pili baada ya ule mchezo wa nusu fainali ya kwaza uliozikutanisha timu za Yanga na JKT Tanzania ulifanyika taraehe 30 Mei 2025 mkoani manyara katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa.

Kwenye mcheo huu Simba Sc ilikubari kipigo cha magoli 3 kwa 1 na kupelekea klabu ya Sinda Black Stars kutinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya CRDB Confederation Cup akiungana na klabu ya Yanga.

Singida Yaifuta Yanga Fainali ya CRDB Confederation Cup

Matokeo Simba Sc vs Singida Black Stars.

Magoli ya Singida Black Stars.

  1. J. SOWA 17′
  2. E.KEYEKESH 35′,48′

Goli la Simba Sc.

  1. J. AHOUA 49′

Kwa matokeo haya Singida Black Stars anaungana na klabu ya Yanga kwenye fainali za michuano hii ya CRDB Confederation Cup kwa msimu wa 2024/2025.

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *