Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Simba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025
Michezo

Simba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025

Kisiwa24By Kisiwa24May 27, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Baada ya kumalizana na michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika wekundu wa msimbazi Simba Sc tarehe 31 Mei inaenda kutupa karata yake katika mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup.

Nusu fainali hii ya CRDB Federation Cup itawakutanisha wababe hawa wawili wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara Simba Sc vs Singida Black Stars baada ya mchezo wa ligi kuu kati ya miamba hawa 2 utakaofanyika tarehe 28 Mei 2025.

Maelezo Muhimu ya Mchezo Huu Wa Nusu Fainali CRDB Federation Cup

Ligi: CRDB Federation Cup

Hatua: Nusu Fainali

Timu: Simba Sc vs Singida Black Stars

Uwanja: Tanzanite Kwaraa, Manyara

Muda: 15:30 Mchana

Mchezo huu utakua mchezobwa ushindani sana na atakae shinda katika mechi hii atajiungana na klabu ya Yanga katika hatua ya Fainali ya CRDB Federation Cup kwa msimu huu wa 2024/2025.

Matarajio ya Mashabiki

Mashabiki wa soka nchini Tanzania wanatazania kuona mchezo wa kuvutia na huku wengi wakitarajia kuona hasira za mnyama simba baada ya kujeruhiwa kwa kukosa ubingwa wa kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kupingwa na klabu ya RS Berkane.

Mashabiki wa Yanga pia wanausubilia kwa hamu ya kutosha mchezo huu ili kuona mtaninwao nini atafanya na kama ataweza kukata tiketi ya fainali mbele ya wababe wa nafasi ya 3 katika ligi kuu ya NBC Tanzania bara.

Kulekea mchezo huu Kisiwa24 blog tutakuletea taarifa zote za msingi hata siku ya mchezo ikiwa ni pamoja na,

-Kikosi cha Simba kitakachocheza na Sigida black Stars Nusu Fainali CRDB Federation Cup

– Live Matokeo ya Simba vs Singida Black Stars Fainali CRDB Federation Cup.

Hivyo usiache kutembelea kwenye site yetu upamde wa Michezo ili kuweza kupata taarifa zote kuhusu mchezo huu wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup kati ya Simba Sc vs Singida Black Stars 31 Mei 2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleKIKOSI Cha Simba sc vs Singida Black Stars 28 May 2025
Next Article VITA ya Ubingwa NBC Premier League 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025443 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025441 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.