Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Diplomasia 2025/2026
    Makala

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Diplomasia 2025/2026

    Kisiwa24By Kisiwa24April 29, 2025No Comments5 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Diplomasia,Habari, karibu katika makala hii ambayo kwa kina zaidi itaenda kukuonyesha sifa na vigezo vya kujiunga na chuo cha diplomasia.

    Historia ya Chuo Cha Dipolamsia Kurasini,Dar es Salaam

    Chuo cha diplomasia kilianzishwa mwaka 1978 ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano yaliyofanywa kati ya serikali ya Tanzania na ile ya Msumbiji

    Chuo hiki cha diplomasia ni moja ya vyuo bora zaidi nchini Tanzania, kinapatika jijini Dar es Salaam kurasi.Chuo cha diplomasia cha mahusiano ya kigeni kilichopo Tanzania na Msumbiji pia kinatambulika kama chuo cha mahusiano cha kigeni CFR),

    Lengo kuu la chuo cha Diplomasia cha Tanzania na Msumbiji ni kukuza maendeleo, maarifa na uelewa wa changamoto za uhusiano ya kimataifa katika viwango vya kikanda na kimataifa vya kufanya mazoezi na kukuza wataalamu, pamoja na umma kwa ujumla.

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Diplomasia

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Diplomasia

    Kozi Zitilewazo Na Chuo Cha Diplomasi

    Chuo cha diplomasia kinatoa kozi mbalimbali za kawaida zinazozingatia mfumo wa Tuzo za Kitaifa za Kiufundi (NTA).

    Pia chuo kinatoa kozi za muda mfupi kulingana na mahitaji ya wanafunzi.

    Ikiwa wewe ni miongoni mwa maelfu wanaofikilia kujiunga na kozi zitolewazo na chuo cha diplomasia basi huna budi kufahanu sifa na vigezo vinavyohutajika ili kuweza kujiunga na chuo hiki cha mahusiano ya kigeni Cha CFR.

    Makala hii itaenda kukuchambulia sifa kwa kila kozi itolewayo na chuo cha diplomasia cha Tanzania na Msumbiji

    Sifa Za Kujiunga Na Kozi ya Basic Technician Ngazi ya Certificate

    Kama wewe ni mwombaji wa kozi ya kozi ya Ufundi ngazi ya cheti (Basic Technician Certificate) katika chuo cha diplomasia basi lazima ukidhi sifa zifuatazo:

    -Mwombaji anapaswa awe amehitimi kidato cha nne na kupata ufaulu wa angalau masomo manne,ukiondoa masomo ya dini.

    -Mwombaji anapaswa awe na sifa za ngazi ya NTA Level 3 kutoka taasisi inayotambulika

    Sifa Za Kujiunga na Kozi Ya Ordinary Diploma in International Relations and Diplomacy

    Ili kujiunga na kozi ya diploma ya kawaida kwenye mahusiano ya kimataifa na diplomasia mwombaji inampasa awe na vigezo vifuatavyo

    – Mwombaji mwenye sifa za kujiunga moja kwa moja anapaswa awe amehitimu kidato cha nne na ufaulu wa prinsipo 1 na pass 1, pia awe na credit pass kwenye masomo 3

    – Waombaji wenye sifa za kujiunga wanatakiwa kua na cheti cha Ufundi Stadi (NTA level 4) kutoka taasisi yoyote inayotambuliwa na NACTE chenye angalau daraja la pili au wastani wa B na kuendelea.

    Sifa Za Kujiunga na Kozi ya Higher Diploma /(NTA Level 7) Bachelor Degree in International Relations and Diplomacy (NTA Level 8)

    – Mwombaji wa Moja kwa Moja anapaswa kua na Cheti cha elimu ya kidato cha sita (ACSEE) chenye ufaulu wa principle Pass 2 (4.0point) ukitoa masomo ya dini, kikiwa na credit pass ya masomo 3.

    – Mwombaji mwenye Sifa za moja kwa moja anapaswa kua na diploma ya kawaida( Ordinary Diploma) kwenye mahusiano ya kimataifa na diplomasia( NTA Level 6) au fani inayohusiana nayo kutoka taasisi yoyote inayotambuliwa na NACTE yenye angalau daraja la PILI au GPA ya 3.0 na kuendelea.

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Bachelor Degree IN International Relations and Diplomacy

    – Mwombaji wa moja kwa moja anapaswa awe amehitimu stashahada Ya Juu ya Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia ( Diploma in international relations and Diplomacy) kwa ufaulu anaweza kuendelea na Shahada ya Kwanza katika Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia (kiwango cha NTA 8).

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Postgraduate Diploma in Management of Foreign Relations

    – Mwombaji wa moja kwa moja anapaswa kua na shahada ya kwanza au inayolinga nayo kutoka taasisi inayotambulika yenye GPA isiyopungua 2.0; au Diploma ya Sawa na Stashahada ya Juu kutoka kwa taasisi inayotambulika yenye daraja isiyopungua ‘B’;

    Sifa za Kujijnga na Kozi ya Postgraduate Diploma in Economic Diplomacy

    -Mwombaji wa moja kwa moja anapaswa kua na Shahada ya kwanza au inayolingana nayo kutoka taasisi inayotambulika yenye GPA isiyopungua 2.0; au Sifa Sawa na Diploma ya juu kutoka katika taasisi inayotambulika isiyopungua wastani wa daraja ‘B’

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Postgraduate Diploma in Peace and Conflict Management

    – Mwombaji anapswa kua na Shahada ya kwanza au inayolingana nayo kutoka kwa taasisi inayotambulika yenye GPA isiyopungua 2.0; au

    – Mwombaji anapaswa kua na Diploma ya Juu kutoka katika taasisi inayotambulika isiyopungua wastani wa daraja ‘B’.

    Sifa Za Kujiunga na Kozi ya Master’s Degree in Strategic Governance

    – Mwombaji wa moja kwa moja anatakiwa kua na Shahada ya kwanza au inayolingana nayo kutoka taasisi inayotambulika yenye GPA isiyopungua 2.7;
    – Mwombaji anapswa kua na Stashahada ya Juu isiyopungua wastani wa daraja ‘B’ kutoka katika taasisi inayotambulika.

    NB: Mahitaji ya ziada yanaweza kuhitajika, kama vile ujuzi katika lugha ya Kiingereza

    Mapendekezo ya mhariri:

    Sifa za Kujiunga Archbishop Mihayo University College of Tabora

    Vigezo Na Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Ardhi Dar es Salaam

    Sifa Za Kujiunga Na Arusha Technical College

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo cha ardhi Tabora ARITA 2024/2025

    Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha DUCE Entry Requirements

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSifa za kujiunga na kozi za Certificate (cheti) 2025/2026
    Next Article Ada na Kozi Zinazotolewa na Chuo MUST Mbeya 2025/2026
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202566 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202566 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.