Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025
    Michezo

    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24November 19, 2024No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025, Kombe la Shirikisho la Afrika (AFCON) 2024/2025Habari ya wakati huu mwanamichezo wa habarika24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo ambayo kwa kina itaenda kuangazia juu ya ratiba ya mechi za Simba Sc kombe la shirikisho Afrika 2024/2025.

    JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limetangaza ratiba kamili ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa hatua ya makundi.

    Simba ndio klabu pekee kutoka Tanzania inayoshiriki katika michuano hii ya kombe la shirikisho kwa  msimu huu wa 2024/2025 baada ya kumaliza msimu wa ligi kuu ya NBC katika nafasi ya 3 ikiwa na jumla ya alama 69 yuma ya Azam na klabu ya Yanga. Simba Sc katika hatua hii ya makundi imepangwa katika kundi A.

    Timu Zinazounda Kundi A

    • Simba SC (Tanzania)
    • CS Sfaxien (Tunisia)
    • CS Constantine (Algeria)
    • FC Bravos do Maquis (Angola)

    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    Kutokana na wingi wa pointi za CAF walizonazo Simba SC, Wekundu wa Msimbazi wamepata bahati ya kupumzika katika raundi ya awali ya michuano ya CAF Confederation cup ambayo hujulikana pia kama michuano ya kombe la shirikisho CAF.Hivyo klabu ya Simba itaanza mechi zake moja kwa moja kutoka katika hatu ya makundi.

    Simba itacheza jumla ya michezo 6 amabapo mnichezo 3 itakua nyumbani na michezo mingine 3 itakua ya ugenini.Mchezo wa kwanza kwa klabu ya Simba katika kombe la Shirikisho Afrika msimuwa 2024/2025 utaanzia nyumbani katika dimba la Benjamini Mkapa akiwakaribisha Fc Bravos Do Maquis mnamo tarehe 27 November 2024

    Ratiba ya Mechi Za Simba Sc

    1. Simba SC vs FC Bravos do Maquis
    Tarehe: 27 November 2024
    Uwanja: Nyumbani

    2. CS Constantine vs Simba
    Tarehe: 8 December 2024

    3. Simba Sc Vs CS Sfaxien
    Tarehe: 15 December 2024
    Uwanja: Numbani

    4. CS Sfaxien vs Simba Sc
    Tarehe: 05 Januari 2025
    Uwanja: Ugenini

    5. FC Bravos do Maquis Vs Simba
    Tarehe: 12 Januari 2025
    Uwanja: Ugenini

    6. Simba Sc Vs CS Constantine
    Tarehe: 19 Januari 2025
    Uwanja: Nyumbani

    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025
    Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    Ratiba Kamili Kombe la Shirikisho CAF (CAF confederation Cup 2024/2025)

    • M41 & 42: EL KANEMI W. FC 🇳🇬 vs DADJE FC 🇹🇬 vs RS BERKANE 🇲🇦
    • M43 & 44: ASCK 🇹🇬 vs AS FAN 🇳🇪 vs ASEC MIMOSAS 🇨🇮
    • M45 & 46: PAYNESVILLE FC 🇱🇷 vs FOVU DE BAHAM 🇨🇲 vs STADE MALIEN 🇲🇱
    • M47 & 48: HAFIA FC 🇬🇳 vs RAHIMO FC/EFO 🇧🇫 vs ENYIMBA FC 🇳🇬
    • M49 & 50: UTS 🇲🇬 vs RC ABIDJAN 🇨🇮 vs EAST END LIONS FC 🇸🇱 vs ASC JARAAF 🇸🇳
    • M51 & 52: KENYA POLICE FC 🇰🇪 vs ETHIOPIAN COFFEE 🇪🇹 vs ZAMALEK SC 🇪🇬
    • M53 & 54: JAMUS FC/JUBA 🇸🇸 vs STADE TUNISIEN 🇹🇳 vs USMA 🇩🇿
    • M55 & 56: UHAMIAJI FC 🇹🇿 vs LIBYA 1 🇱🇾 vs SIMBA SC 🇹🇿
    • M57 & 58: KITARA FC 🇺🇬 vs LIBYA 2 🇱🇾 vs EL MASRY 🇪🇬
    • M59 & 60: HORSEED FC 🇸🇴 vs RUKINZO FC 🇧🇮 vs CS SFAXIEN 🇹🇳
    • M61 & 62: N. HOTSPURS FC 🇿🇦 vs STELLENBOSCH FC 🇿🇦 vs AS VITA CLUB 🇨🇩
    • M63 & 64: ELGECO PLUS 🇲🇬 vs CD LUNDA-SUL 🇦🇴 vs SEKHUKHUNE UTD 🇿🇦
    • M65 & 66: FC BRAVOS 🇦🇴 vs COASTAL UNION SC 🇹🇿 vs FC LUPOPO 🇨🇩
    • M67 & 68: ALIZE FORT 🇩🇯 vs A. BLACK BULLS 🇸🇿 vs FC 15 DE AGOSTO 🇦🇴 vs AS OTOHO 🇨🇬
    • M69 & 70: FORESTERS FC 🇸🇱 vs ORAPA UNITED 🇧🇼 vs DYNAMOS FC 🇿🇼 vs ZESCO UNITED 🇿🇲
    • M71 & 72: NSOATREMAN FC 🇬🇭 vs TP ELECT SPORT 🇹🇩 vs CS CONSTANTINE 🇩🇿 vs POLICE FC 🇷🇼

    Hitimisho

    Mashabiki wa soka bara Afrika wanasubiri kwa hamu kuona ni timu gani zitafanikiwa kutoka katika kundi hili lenye ushindani mkali. Kila timu itajitahidi kutoa burudani na mchezo wa hali ya juu kwa mashabiki.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Ratiba ya Mechi za Yanga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

    2. Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    3. Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

    4. Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025

    5. Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMsimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025
    Next Article Nafasi Mpya 99 Za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma Novemba 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.