Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu 2025
    Makala

    Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 12, 2025No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ziwa Victoria, Ni moja miongoni mwa maziwa makubwa zaidi Tanznia na Afrika, limekuwa kitovu cha usafiri wa majini kwa miongo mingi kati ya mkoa wa Mwanza na wilaya ya Bukoba. Leo katika makala hii tutaenda kukupa ufahamu zaidi juu ya nauli na ratiba ya meli mpya ya MV Victoria Hapa Kazi tu inayofanya safari zake kati ya mwanza na Bukoba.

    MV Victoria Hapa Kazi tu hii ni meli ya kisasa iliyozinduliwa hivi karibuni, ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo. Imejengwa kwa viwango vya juu vya kimataifa, ikiwa na vyumba vya daraja la kwanza, la pili na la tatu. Meli hii inaonyesha hatua kubwa ya maendeleo katika sekta ya usafiri wa majini Tanzania.

    Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu

    Ratiba ya Meli ya Mv Victoria Hapa Kazi Tu Kati ya Mwanza na Bukoba

    Hapa tunaenda kutazama ratiba ya meli ya Mv Victoria hapa kazi tu inayofanya safarri zake katika ziwa victiria kati ya Mwanza na Bukoba

    1. Kutoka Mwanza Kwenda Bukoba Kupiti Bandari ya Kemondo

    • Meli huanza safari yake kunako majira ya saa 3:00 usiku kwa siku za Jumanne, Alhamisi na Jumapili

    2. Kutoka Bukoba Kwenda Mwanza Kupitia Bandari ya Kemondo

    • Meli huanza safari zake kuanzia majira ya 3:00 Usiku kila siku kwa siku za Jumatatu, Jumatano na Ijumaa

    Kumbuka wasafili wanakumbushwa kufika bandarini iwe kwa upande wa Mwanza au Bukoba mapema iwezekanavyo lisaa limoja kabla ya meli kuanza safari ili kuepusha usumbufu usio wa lazima. Mchakato wa kupanda katika meli ni wa kuridhisha na wenye utaratibu mzuri sana kwani maafisa wa usalama katika bandari husimamia zoezi la kuhakikisha kila abiria ana tiketi halali na mizigo yao inakaguliwa ipasavyo.

    Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu

    Nauli Harisi Za Meli Ya Mv Victoria Hapa Kazi Tu

    Kama unatarajia kusafiri kati ya Mwanza na bukoba kwa kutumia usafiri wa maji kwa meli ya Mv Victoria hapa kazi tu basi ni muhimu pia kufahamu nauli za usafri huo kutoka Mwanza hadi Bukoba na kutokea Bukoba hadi Mwanza.

    Nauli za meli ya Mv Victoria Hapa Kazi zimepangwa kwa kuzingatia vitu vifuatavyo

    1. Daraja la meli
    2. Umri wa Abiria

    Sasa tutazame mgawanyo wa nauli katika meli ya Mv Victoria hapa kazi tu inayofanya safari zake katika ziwa Victoria kwa kuunganisha maeneo ya Mwanza na Bukoba.

    1. Nauli ya Daraja la Uchumi

    • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh 21,000
    • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh. 11,000

    2. Nauli ya Daraja la Biashara

    • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh. 40,000.
    • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh. 20,500.

    3. Nauli ya Daraja la Kwanza

    • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh 55,000.
    • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh.28,000.

    Huduma Zitolewazo Ndani ya Meli Ya Mv Victolia Hapa Kazi Tu

    • Vyakula
    • Vinywaji
    • Vyumba vya kulala
    • Kutizama luninga (Tv)
    • Vitafunwa
    • Upatikanaji wa Mawasiliano mda wote wa Safari

    Hali ya Usalama Katika Meli Ya Mv Victolia hapa Kazi Tu

    Usalama ndani ya meli umepewa kipaumbele cha juu hii ni kutokana na ajairi ya meli ya Mv Victoria kitu kilicho chochea maboresho ya hali ya juu ya kiusalama katika meli hii ya kisasa zaidi

    • Kuna vifaa vya kutosha vya kuokolea maisha, pamoja na boti za kuokolea.
    • Mabaharia wenye uzoefu na mafunzo ya kutosha.
    • Meli imefungwa mfumo wa GPS na rada za kisasa.

    Hitimisho

    MV Victoria Hapa Kazi tu si tu njia ya usafiri, bali ni ishara ya maendeleo ya Tanzania katika sekta ya usafiri wa majini. Imeboresha kwa kiasi kikubwa uhusiano wa kibiashara na kijamii kati ya mikoa ya Mwanza na Kagera, huku ikitoa huduma bora na ya kuaminika kwa wasafiri. Safari hii inathibitisha kuwa Tanzania inapiga hatua kubwa katika kuboresha miundombinu ya usafiri, huku ikidumisha viwango vya juu vya usalama na starehe kwa wasafiri wake. MV Victoria Hapa Kazi tu ni mfano mzuri wa jinsi uwekezaji katika sekta ya usafiri wa majini unavyoweza kuleta tija kwa jamii nzima.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI za Kazi Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO)
    Next Article MATOKEO ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 12 June 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.