Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

December 9, 2025

Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza

December 9, 2025

Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania
Michezo

Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

Kisiwa24By Kisiwa24April 22, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania,Makombe aliyoshinda Simba Tanzania, Habari mwana Simba SC karibu katika makala hii fupi ya kimichezo itakayoenda kukupa wasaha wa kuweza kufahamu idadi kamili ya makombe amabayo klabu yako ya Simba imeweza kujikusanyia kutoka ligi mbali mbali za Tanzania tangu kuanzishwa kwake.

Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

Utakapo zungunmzia vilabu bora nchini Tanzania huwezi kuacha kuizungumzia klabu ya Simba kwani ni miongoni mwa klabu kubwa zaidi nchini Tanzania na yenye mafanikio makubwa zaidi ukilinganisha na klabu nyingine.

Makombe ya Simba SC Ligi Kuu Tanzania

Kwenye ligi kuu ya Tanzania klabu ya Simba imefanikiwa kuchukua ubingwa mar 22, japo ligi kuu ya Tanzania bado inaendela tunatumaini ordha hii ya ubingwa wa Simba kwenye ligi kuu inaweza kubadilika vilevile.

  1. 1965
  2. 1966
  3. 1973
  4. 1976
  5. 1977
  6. 1978
  7. 1979
  8. 1980
  9. 1993
  10. 1994
  11. 1995
  12. 2001
  13. 2002
  14. 2003
  15. 2004
  16. 2007
  17. 2009–10
  18. 2011–12
  19. 2017–18
  20. 2018–19
  21. 2019–20
  22. 2020–21

Hivyo basi ukichukua makombe yote amabayo Simba ameshinda kwenye michuano mbali mbali Tanzani anakua na makombe 55. Kwenye ligi kuu ya Tanzania Simba Sc inakua ni timu ya 2 kwa kua na makombe mengi ya ligi hiyo huku rekodi ya namba moja ikishikiliwa na klabu ya Yanga.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali

2. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

3. Ratiba ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

4. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleJumla ya Makombe ya Simba Tangu Mwaka 1936
Next Article Fomu Ya Kujiunga Na Chuo Cha Mipango Dodoma (IRDP) 2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa
  • Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza
  • Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma
  • MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025
  • Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025767 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025429 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025381 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.