TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika Hadi 2025

Filed in Michezo by on May 28, 2025 0 Comments

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika, Timu Zilizoshinda Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) Mara Nyingi,CAF Confederation Cup winners List,Orodha Ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika History Wikipedia. Habari ya wakati mwingine tena wewe mwanmichezo wa Kisiwa24 Blog. Karibu katika kurasa hii ya kimichezo ambayo kwa kifupi itaenda kuangazia juu ya orodha ya mabingwa wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika hadi sasa.

Ikiwa ni miongoni mwa wafuatiliaji wa mpira wa miguu barani afrika basi utakua na ufahamu juu ya ligi ya kombe la shirikisho barani Afrika. Michuano hii inashika nafasi ya 2 kwa ukubwa barani Afrika ikiachilia mbali mashindano ya klabu bingwa Afrika.

Michuano ya kombe la shirikisho huusisha vilabu vilivyo maliza katika nafasi ya 3 kwenye ligi mbali mbali barani Afrika.Jumla ya timu 56 kutoka vilabu mbalimbali barani Afrika hushiriki katika mchujo wa michuano ya kombe la shirikisho Afrika.

Kama tulivotangulia kusema apo awali kurasa hii itaenda kukuonyesha vilabu vilivyoweza kuchukua ubingwa wa michuano hii ya klabu bingwa Afrika tokea kuanzaishwa kwa michuano hii mwaka 2004.

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika Hadi 2025

Hapa chini ni jedwali linaloonyesha orodha ya mabingwa wa kombe la shirikisho barani Afrika kuanzai mwaka 2004.

Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika (Winners  CAF Confederation Cup )
Season Winner
2004 Ghana Hearts of Oak
2005 Morocco ASFAR
2006 Tunisia Étoile du Sahel
2007 Tunisia CS Sfaxien
2008 Tunisia – CS Sfaxien (2)
2009 Mali Stade Malien
2010 Morocco FUS de Rabat
2011 Morocco MAS Fez
2012 Republic of the Congo AC Léopards
2013 Tunisia CS Sfaxien (3)
2014 Egypt Al Ahly
2015 Tunisia Étoile du Sahel (2)
2016 Democratic Republic of the Congo TP Mazembe
2017 Democratic Republic of the Congo TP Mazembe (2)
2018 Morocco Raja CA
2019 Zamalek
2020 RS Berkane
2021 Raja CA (2)
2022 RS Berkane (2)
2023 USM Alger
2024 Zamalek (2)
2025 RS Berkane (3)

Timu Zilizoshinda Kombe la Shirikisho Afrika, (CAF Confederation Cup) Mara Nyingi

Hapa chini tumekuwekea orodha ya timu zilizofanikiwa kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara nyingi zaidi

Klabu zilizobeba ubingwa mara nging
Club Idadi Miaka
CS Sfaxien 3 2007, 2008, 2013
RS Berkane 2 2020, 2022
Étoile du Sahel 2 2006, 2015
TP Mazembe 2 2016, 2017
Zamalek 2 2019, 2024
Raja CA 2 2018, 2021

 

Thamani ya Kombe la Shirikisho

Kwa takwimu za mwaka 2023 zawadi ya fedha ilikua ikitolewa kuanzia timu zilizoweza kuingia katika hatua ya robo fainaili hapa chini tumeweka uchanganuzi wa thamani ya fedha zinazotolewa kwenye timu zinazofudhu hatua ya robo fainali hadi kwa bingwa wa michuano hiyo ya Kombe la shirikisho Afrika.

Nafasi katika Ligi Pesa anayopata
Bingwa wa Michuano US$2,000,000
Mshindi wa 2 US$1,000,000
Timu za Nusu Fainali US$750,000
Timu za Robo Fainali US$550,000
Timu zilizoshika nafasi ya 3 Hatua ya makundi US$400,000
Timu zilizoshika nafasi ya 4 Hatua ya makundi US$400,000

Mapendekezo ya Mhariri

1. Orodha Ya Mabingwa Klabu Bingwa Afrika

2. Wafungaji Bora Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

3. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

4. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

5. Wafungaji Bora Ligi ya Spain Laliga 2024/2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *