Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Orodha ya App 69 Za Mikopo Zilizofungiwa na Bot
    Makala

    Orodha ya App 69 Za Mikopo Zilizofungiwa na Bot

    Kisiwa24By Kisiwa24June 7, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Orodha ya App 69 Za Mikopo Zilizofungiwa na Bot

    Habari mwanahabarika24, Karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukuonyesha orodha ya application 69 za utoaji mikopo kidijitali ambazo zimefungiwa utoaji wa huduma hizo kutokana na sababu kadha wa kadha.

    Kutokana na maendeleo ya kitekinolojia Tanzania imeshuhudia ongezeko kubwa na huduma za mikopo ya kifedha kwa njia ya mtando. Hii ni kutokana na mahitaji ya kidharura ya kifedha kwa watanzania waliowengi.

    Ongezeko hili limepelekea kuwepo hata kwa application za kitapeli nabzenye liba kubwa hata kuwepo kwa application/ taasisi zinazotoa huduma pasi na kukidhi vigezo.

    Banki kuu ya Tanzania BOT imefikia maamuzi ya kufungia taasisi (Application) 69 kutokana na kutokua nablesini na kutokukidhi zigezo vya utoaji huduma hizo za mikopo ya pesa kwa mujibu wa BOT.

    BOT imetia katizo la program hizo 69 kito endelea na utoaji wa huduma hizo za mikopo ya kifedha na kuutaadharisha umma kutotumia program hizo kwani hazina vibali wala leseni.

    Orodha ya App 69 Za Mikopo Zilizofungiwa na Bot

    Hapa chini ni orodha ya App 69 zilizofungiwa na BOT

    1. BoBa Cash,
    2. Bolla Kash-Bolla Kash
    3. Financial Credit,
    4. BongoPesa
    5. Personal Online Loan,
    6. Cash Mkopo,
    7. Cash Pesa,
    8. Cash poa,
    9. Cash mama,
    10. CashX,
    11. Credit Land,
    12. Eaglecash Tz,
    13. Fast Mkopo,
    14. Flower Loan n
    15. Fun Loan
    16. Fundflex,
    17. Get cash,
    18. Get loan,
    19. Getpesa Tanzania,
    20. Hakika loan,
    21. Hewa Mkopo,
    22. Hi cash,
    23. HiPesa,
    24. Jokate Foundation Imarisha Maisha,
    25. Kopako pa,
    26. Kwanza loan,
    27. L-pesa Microfinance,
    28. Land cash,
    29. Loanplus,
    30. M-Safi,
    31. Mkopo Express,
    32. Mkopo Extra,
    33. Mkopo haraka
    34. Mkopohuru
    35. Mkoponafuu,
    36. Mko powako,
    37. Money Tap,
    38. Mpaso chap loan Mkopo kisasa,
    39. Mum loan,
    40. My credit,
    41. Nikopeshe App,
    42. Nufaika Loans,
    43. Okoa Maisha Mkopofast,
    44. Pesa M,
    45. Pesa Rahisi,
    46. PesaPlus,
    47. PesaX,
    48. Pocket loan,
    49. Pop Pesa,
    50. Premier loan,
    51. Safe pesa
    52. SasaMkopo
    53. Silk loan,
    54. Silkda Credit,
    55. Soko loan,
    56. Sunloan,
    57. Sunny Loan,
    58. Swift Fund,
    59. TALA,
    60. TikCash,
    61. Twiga Loan,
    62. TZcash,
    63. Umoja,
    64. Usalama
    65. Uwakika,
    66. Mkopo Dk15,
    67. Ustawi loan,Viva Mkopo Limited,
    68. VunaPesa
    69. Yes Pesa na Zima Cash.

    Benki kuu ya Tanzania BOT inashilikiana kwa karibu na mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuhakikisha program hizo zote zinafungiwa mna kuacha kufanya kazi kwakua hazikukidhi zigezo wala kua nalesseni.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleDawa ya Kuongeza Uume kwa Siku 7
    Next Article NAFASI za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mwanza June 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.