Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania
Makala

Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

Kisiwa24
Last updated: September 14, 2024 10:49 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Jinsi ya kuanzisha Kampuni,Ili uweze kumiliki kampuni kwa nchini tanzania itakuhitaji uweze kupitia hatua kadha wa kadha ikiwemo usajili wa kampuni na usajili wa jina la kampuni unayotaka kuinzisha.

BRELA,ndio idala ya serikali yenye dhamana kisheria juu ya usajili wa biashara na leseni. Ili uwezee kuendesha kampuni lazima kwa mujibu wa shetia uweze kufuata taratibu na sheria za BRELA.

Kwenye makal hii tunaenda kukuonyesha hatua na taratibu za kisheria unazotakiwa kuzifuata ili uweze kuanzisha kampuni nchini Tanzania.

Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania
Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

Hatua za Kuanzisha Kampuni

Kwa mujibu wa idara ya usimamizi wa uasjili wa biashara na leseni hapa chini tumekuwekea hatu za muhimu za kufuata ili uweze kuanzisha kampuni;

Sajiri Akaunti ORS

Kabla ya yote baada ya kuwa na jina la kampuni unatakiwa kufungua akaunti katika mfumo wa ORS – Online legislation System ili kuanza usajili.

Maandalizi ya Vitu Muhimu

Mara baada ya kufungua akaunti katika mtandao wa ORS sasa kabla ya kuanza mchakato wa kutuma maombi inakubili ufanye maadalizi ya vitu muhimu vitakavyohitajika wakati wa mchakato mzima wa ufanyaji maombi.Miongoni mwa vitu hivyo ni pamoja na;

    • Memorandum of Association,
    • Articles of Association (Memarts), na
    • Declaration of Compliance (Fomu 14b).

Hizo hapo juu ni nyaraka muhimu sana katika utumaji wa maombi ya umiliki wa kampuni, hivyo hakikisha nyaraka zote hapo juu zimesainiwa na wamiliki wa kampuni lakini pia zimepigwa muhuri na saini ya mwanasheria. Cha kuzingatia zaidi hakikisha una copy ya nakala tepe kwa kila nyalaka hapo juu kwani mfumo unaruhusu upakiaji wa nakala tepe tu.

Tuma Maombi ya Usajili

Baadaya kua na vitu vya msingi kama nakala tepe tulizozitaja hapo juu sasa ni wakati wa kutuma maombi yako hii itakufanya upitie hatua kadhhaa;

a) Ingia kwenye akaunti yako ya ORS na kisha ujaze taarifa za usajiri kwa kuhakikisha unajaza taarifa muhimu za kampuni yako ikiwemo jina la kampuni na anuani inapopatikana kampuni.

b) Baada ya kumaliza kujaza taarifa pia utapakia nakala tepe za nyaraka ulizizianda kwa kusoma maelekezo katika mfumo wa usajili

c) Mara baada ya kujaza taarifa zote na kupakia nakala za nyalaka utatuma maombi na mfumo utakutumia nakala ya bili ya maombi na utapaswa kuipa kulingana na maelekezo yaliyoko kwenye ujumbe wa malipo.

Malipo ya bili ya usajili wa kampuni yanaweza kufanya wa njia tofauti kama vile;

  • Banki
  • Simu

d) Baada ya Kukamilisha malipo mfumo wa BRELA utapitia maombi yako na kuleta majibu ya ombi lako kwa njia ya barua pepe ulioijaza wakati unafungua akaunti.

-Ujumbe utaonyesha hali ya ombi la usajili wa kampuni kama limefanikiwa au la, Kama halijafanikiwa pia ujumbe utatoa taarifa ya mapendekezo ya vitu vya kubadilisha na kisha utatuma tena ombi lako

e) Bada ya kukubaliwa kwa ombi lako BERLA  Kupitia akaunti yako ya ORS itakutumia cheti cha usajili wa kampuni yako, Ambayo itakua na maelezo ya kuthibitisha umiliki na usajili halali wa kampuni yako. Ingia kenryr akaunti yako na upakue cheti chako cha usajili na kukiprinti kwa matumizi ya kibiashar.

Omba TIN namba na Leseni ya Biashara

Baada ya zoizi la kusaji kampuni kukamilika sasa ili kampuni yako iweze kufanya kazi kiuhalali itakupasa ufanye maombi ya TIN namba kupitia mamlaka ya mapato Tanzania – TRA, kama hufahamu jinsi ya kuomba TIN namba tafadhari bonyeza hapa

Hitimisho

Kama wewe ni mfanyabiashara na lengo lako kuu ni kumiliki kampuni yako basi tunakushauri uhakikishe unafuata hatua za kisheria katika umiliki wa kampuni yako kama vile usajili wa kampuni na jina la kampuni kupitia BRELA na kuamba TIN namba ya Biashara kupitia TRA hii itakusaidi kuendesha kampuni yako kwa uhuru pasipo kupitia changamoto zozote zile za kisheria.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar

2. Vifurushi vya Starrtimes Na Bei Zake

3. Jinsi ya kubadilisha kifurushi cha Startimes

4. Vifurushi vya DSTV Na Bei Zake

5. JINSI ya Kupata TIN Number Online

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Sifa za Kujiunga Archbishop Mihayo University College of Tabora

Listi ya App Za Mikopo Tanzania 2025

E Statement of Results Grade 9 Internal PDF 2025

CRDB SimBanking huduma kwa wateja

Jinsi ya Kujisajili na Kutumia Kampuni ya SportPesa

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Jinsi Ya Kuangalia usajili wa kampuni BRELA Jinsi Ya Kuangalia usajili wa kampuni BRELA
Next Article Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Ada za Kutoa na Kuweka Pesa Airtel Money
MakalaMitandao ya Simu Tanzania

Ada za Kutoa na Kuweka Pesa Airtel Money

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Shule za Sekondari za Advance za Mkoa wa Singida
MakalaShule za Sekondari Mikoa Yote Tanzania

Shule za Sekondari za Advance za Mkoa wa Singida

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read

Listi Ya Nyimbo 50 za Kusifu na Kuabudu 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Mikopo Inayopatikana CRDB Bank kwa Wajasiriamali
Makala

Mikopo Inayopatikana CRDB Bank kwa Wajasiriamali 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Shule za Sekondari za Advance Mkoa wa Shinyanga
MakalaShule za Sekondari Mikoa Yote Tanzania

Shule za Sekondari za Advance Mkoa wa Shinyanga

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Jinsi ya Kujiunga na Chuo cha Afya cha KCMC
Makala

Jinsi ya Kujiunga na Chuo cha Afya cha KCMC 2025/2026

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner