MATANGAZO YA KAZI
BOFYA HAPA
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same amepokea Kibali cha Ajira
Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora kupitia baru ayenye Kumb. Na. FA.228/613/01F/072 ya tarehe
10.03.2025. Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za
kujaza nafasi tajwa hapo chini.
DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 1)
Bonyeza Hapa Kupakua Tangazo Lote
MATANGAZO YA KAZI
BOFYA HAPA