NAFASI 135 za Kazi Kilombero Sugar Company Limited 2025
Kampuni ya Sukari ya Kilombero ni moja kati ya viwanda vikubwa vya uzalishaji wa sukari nchini Tanzania. Ipo katika bonde la mto Kilombero, mkoani Morogoro, kampuni hii ina mashamba makubwa ya miwa na pia hununua miwa kutoka kwa wakulima wadogo wanaoizunguka. Kilombero Sugar Company ina jukumu muhimu katika kuchangia pato la taifa kupitia uzalishaji wa sukari, ajira kwa maelfu ya Watanzania, na pia katika kukuza maendeleo ya jamii kwa njia ya miradi ya kijamii kama vile afya, elimu, na miundombinu.
Kwa sasa, Kilombero Sugar Company imeongeza uwezo wake wa uzalishaji kwa kuwekeza katika teknolojia ya kisasa na kupanua mashamba yake ya miwa. Pia imekuwa mstari wa mbele katika kushirikiana na wakulima wadogo kwa kuwapatia elimu ya kilimo bora, pembejeo, na mikopo, ili kuongeza tija katika kilimo cha miwa. Ushirikiano huu umeimarisha uchumi wa maeneo ya vijijini na kuwasaidia wakulima kuwa na maisha bora zaidi. Kampuni hii inaendelea kuwa nguzo muhimu katika sekta ya viwanda na kilimo nchini Tanzania.
NAFASI 135 za Kazi Kilombero Sugar Company Limited 2025
Nafazi zilizopo kwa sasa;
- Artisan- Sealing Jaw Fitter K4 -4 Positions
- Assistant Condition Based Monitoring Technician
- Bag Hooker ( 28 position )
- Centrifugal Operator- 4 Positions K4
- Distillation Operator – Distillery (2 Position)
- Farm Manager-1 Position
- Farm Supervisor – 2 Positions
- Fermentation Operator – Distillery (1 Position)
- Multi-Skilled Operator -Bulk Storage Facility 4 Position (K4)
- Multi-skilled Operator-High level Palletiser – 64 Positions (K4)
- Packing Attendant – 24 Positions K4
- Section Planner – 1 Position
Ili kuweza kusoma vigezo kwenye kila nafasi ya kazi hapo juu na njia ya kutuma maombi tafadhari bonyeza kwenye linki hapo chini;