Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024
Ajira

Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

Kisiwa24By Kisiwa24August 22, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala kupitia kibali cha ajira mpya chenye kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024, chenye nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja La III (8) na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II (5) kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Newala anatangaza nafasi za kazi na
anakaribisha maombi kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi hizo kama ifuatavyo: –

Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024
Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala Agosti 2024

MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III NAFASI 8

 MAJUKUMU YA KAZI

i. Afisa Masuuli na Mtendaji mkuu wa Serikali ya Kijiji.

ii. Kuratibu na kusimamia Upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo
ya kijiji

iii. Katibu wa Mikutano na Kamati zote za Halmashauri ya Kijiji.

iv. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na taratibu

v. Kuandaa taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha Wananchi katika kuandaa na kutekeleza Mikakati ya kuondoa njaa, Umaskini na kuongeza Uzalishaji mali.

vi. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya kitaaluma katika kijiji

vii. Kusimamia ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika kijiji.

viii. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za Kijiji.

ix. Mwenyekiti wa kikao cha Wataalam waliopo katika kijiji.

x. Kupokea, kusikiliza na kutatua Malalamiko na Migogoro ya Wananchi.

xi. Kusimamia utungaji wa Sheria ndogo za Kijiji na atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

xii. Kusimamia ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi.

SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye elimu ya Kidato cha nne au sita, aliyehitimu Mafunzo ya Astashahada/ Cheti (NTA LEVEL 5) Katika mojawapo wa Fani zifuatazo, Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa Kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

NGAZI YA MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali- TGS B1

BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI ZOTE

MACHAGUZI YA MHARIRI;

1. Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA Kwa Njia ya SMS

2. Jinsi Ya Kuangalia Deni La Gari 2024 (TMS Traffic Check)

3. Namna ya Kupata Cheti cha Kuzaliwa Kwa Mtu Mzima

4. Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mtendaji wa Kijiji na Mtaa

5. Ada za Airtel Money 2023/2024 Kwenye Kutoa na kuweka Pesa

6. Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNafasi Mpya 27 Za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa Agosti 2024
Next Article Matokeo Ya Mashujaa Vs Tanzania Presons Ligi Ya Nbc Premier League Ijumaa 23/08/2024
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025
Ajira

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025783 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025547 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025445 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.