Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»Nafasi Mpya za Kazi Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2025
Ajira

Nafasi Mpya za Kazi Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2025

Kisiwa24By Kisiwa24January 6, 2025No Comments6 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Nafasi Mpya za Kazi Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2025, Nafasi za Kazi Utumishi, nafasi za kazi Ajira Portal, Nafasi za kazi zilizotangazwa leo,wiki hii na mwezi huu kutoka serikalini, Utumishi na Ajira portal, Habari kama wewe ni miongoni mwa wanaotafuta kazi kutoka serikalini basi makala hii itaangazia nafasi mpya za kazi zinazotangazwa na serikali kila siku kupitia tovuti ya Utumishi na ile ya Ajira Portal.

Kuhusu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali na hadhi ya Idara ya kujitegemea iliyoanzishwa hasa ili kuwezesha mchakato wa kuajiri wa wafanyakazi katika taasisi mbalimbali za Umma. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa na Sheria ya Utumishi wa Umma ya Nambari ya 8 0 ya 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Nambari ya 18 ya 2007, kifungu cha 29 ((1).

Maono ya Sekretarieti ya Ajira

  • Kuwa kituo cha ubora katika huduma ya umma kuajiri katika kanda.

Kazi Kuu za Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

Kufanya kuajiri watumishi wa umma kwa kutumia mbinu za kisasa kwa kuzingatia kanuni za usawa, uwazi na sifa na pia kutoa ushauri kwa waajiri juu ya maswala yanayohusiana na ajira.

Kazi Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

  1. Kuajiri wafanyakazi kwenye taasisi za Umma,Jukumu kuu la PSRS ni kuwezesha kuajiri katika Huduma ya Umma.
  2. Kutafuta wataalamu mbalimbali wenye ujuzi maalum na kuandaa database kwa wataalamu hao kwa ajili ya kuajiri rahisi;
  3. Kurejista wahitimu na wataalamu kwa madhumuni ya urahisi wa rejea ya kujaza nafasi tupu;
  4. Kutangaza nafasi za kazi zinazotokea katika huduma ya umma;
  5. Kuhusisha wataalam husika kwa madhumuni ya kufanya mahojiano
  6. Kushauri waajiri juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na kuajiri, na
  7. Kufanya kitendo kingine chochote au kitu ambacho kinaweza kuelekezwa na Waziri anayehusika na Huduma ya Umma.

Maadili ya Msingi Sekretarieti ya Ajira

Thamani za msingi za PSRS ni msingi ya utendaji wa kazi na mwenendo katika kukabiliana na mabadiliko katika jamii, serikali, siasa, na teknolojia.

  1. Kufuatilia ubora katika utoaji wa huduma.
  2. Ushikamanifu kwa Serikali.
  3. Kufanya kazi kwa bidii.
  4. Uadilifu.
  5. Fadhili kwa wote.
  6. Kuheshimu sheria
  7. Matumizi sahihi ya taarifa rasmi

Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2025

Hapa chini ni matangazo ya kazi kutoka serikalini kupitia Utumishi na Ajira portal ili kuweza kufungua matangazo haya ya ajira tafadhari bonyeza kwenye kichwa cha tangazo kulingana na muda lilipotolewa.

Nafasi za Kazi kutoka Ajira Portal,Utumishi na Serikalini January 2025

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO CHA MIPANGO YA MAENDELEO VIJIJINI (IRDP) 02-01-2025

Nafasi za Kazi kutoka Ajira Portal,Utumishi na Serikalini Desemba 2024

  • ANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOMBE 28-12-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAFIA 28-12-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI YA UTAFITI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWIRI) 28-12-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MAMLAKA YA USIMAMIZI WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA) 28-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 23-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI 23-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE 21-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 20-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO ARUSHA (AICC) 13-12-2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI TANZANIA (TPDC) 07-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 07-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA WAKALA WA VIPIMO (WMA) 06-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BENKI KUU YA TANZANIA 05-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUHAMIA BENKI KUU YA TANZANIA 05-12-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KISHIRIKI CHA ELIMU DAR ES SALAAM (DUCE) 03-12-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU (NBAA) 01-12-2024

 

Nafasi za Kazi kutoka Ajira Portal,Utumishi na Serikarini November 2024

  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA) 29-11-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BARIADI 25-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME 21-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO 21-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MUSOMA 21-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA 19-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI 19-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 18-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING’OMBE 15-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 15-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KITETO 15-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI 15-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 08-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI YA KAZI TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS) 08-11-2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA TAASISI YA ELIMU TANZANIA 02-11-2024
  •  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 01-11-2024

Linapo kuja swala la wapi sehemu salama ya kupata matangazo sahihi ya Ajira basi Ajira portal na Utumishi ndio sehemu sahihi. Kama wewe ni moja ya mamia wanaofikilia kupata kazi serikalini basi ni vyema ukatembelea ukwasa huu mara kwa mara ili uweze kupata matangazo mapya ya ajira zilizo tangazwa leo, wiki hii na mwezi huu,

Makala hii ipo kwa lengo la kukupa updates za ajira mpya 2025, kutoka serikalini, utumishi na Ajira portal

Njinsi ya Kujisajiri na Mfumo wa Ajira Portal

Nafasi nyingi za kazi zitolewazo na utumishi huwataka waombaji kutuma maombi kupitia tovuti ya Ajira Portal hivyo basi kwa mwombaji mpya lazima upitie baadhi ya hatua ili kuweza kutuma maombi yako

Hapa chini ni mwongozo mfupi wa namna ya kujiunga na mfumo wa jara portal na kuweza kutuma maombi ya ajira

1. Ingia kwenye mfumo wa ajira portal kupitia tovuti rasimi ya Ajira portal https://portal.ajira.go.tz/

2. Ukiwa kwenye ukrasa wa mbele wa Ajira Portal nenda palipoandikwa REGISTER

3. Ingiza Barua pepe na Nywira yako kisha bonyeza Register, utapokea ujumbe kwenye barua pepe uliyojisajili nayo fuata maelekezo.

4. Baada ya kuactivate akaunti yako, jaza taarifa muhimu kama vile

  • Personal Details
  • Academic Qualifications
  • Professional Qualifications
  • Language Proficiency
  • Working Experience
  • Training & Workshop
  • Computer Literacy
  • Referees
  • Other Attachments
  • Declaration

Njinsi ya Kutuma Maombi

Baada ya kujaza taarifa zote kwa umakini na usahihi sasa utakua na uwezo wa kuweza kutuma moambi ya kazi kutokana na matangazo yaliyotolewa kwenye mfumo wa Ajira Portala kutoka utumishi na serikalini.

1. Ingia kwneye akaunti yako ya Ajira Portal kisha bonyeza palipoandikwa ” vacancies”

2. Kisha tafuta tangazo la kazi linaloendana na taaluma yako na bonyeza

3. Soma na uwelewe maangizo na mahitaji ya tangazo husika la kazi

4. Kisha bonyeza “Apply”

Ajira zote hizi kutoka Ajira Portal,serikalini na Utumishi unaweza kutuma maombi yake kupitia tovuti rasmi ya Ajira Portal kupitia linki Ajira Portal (https://portal.ajira.go.tz/)

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleRATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025
Next Article Nafasi Za Kazi Chuo Cha Mipango Ya Maendeleo Vijijini (IRDP) January 2025
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025
Ajira

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025783 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025595 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025445 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.